kemondaro57
Member
- Jun 17, 2017
- 67
- 52
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana Muramu
Hapo nakumbuka bibi yangu alikuwaga analeta nguo tulizozichoka, yeye anapewa mpunga, michembe.
Mpaka hapa wasukuma mmetisha, kweli tuko wengi. Namiss Bhugali bho ndemi.
aisee kumbe unaweza kujikuta unaquote uzi wa jamaa, unamsukumia dongo kumbe mko siti moja kwenye basi moja!!
Haya majina mengine sio kweli mnaongopa [emoji15] [emoji15]Nsangamwalugheshi
Haya majina ya vijiji usukumani huko wala sio uongo
Kibara Ginery, Bunere, Nambaza, Nansimo, Genge, Mwitende, Makwa,Kabirizi,Masahunga, RugeziNyakatuba, Kibara Bunda Kwetu🙂😉
Ibinzamata, Bugayambelele, Buhangija. na Nhelegani enzi hizo nikipiga kitabu KizumbiWewe!! Ibinzamata ya wapi? Bugayambelele, Bugwandege au
Ilangara, Ghalu, Muriti, Nakamwa MasongaNansio Ukerewe ndio kitovu changu kilipo
Secondary au kile chuo cha ushirika? Nimekuona Nyakatuba pia au Namalebe, Kitengule...Ibinzamata, Bugayambelele, Buhangija. enzi hizo nikipiga kitabu Kizumbi
Coop CollegeSecondary au kile chuo cha ushirika? Nimekuona Nyakatuba pia au Namalebe, Kitengule...
OK.Coop College