Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,403
- 1,837
Mkuu natoka kwimba huko nilikuwa na safari ya baiskeli kwenda senani( mwabayanda) kuna njia ukitoka kinamweli unapita kabale kwenda bukingwaminzi, sasa nilipotea nikapitiliza kutoka kinamweli mpaka jinjimili nilisumbuka sana,Kabila,nyanguku,shishani,Mahaha,ng'wakumega,nkungulu,ng'haya,ng'wabulenga,Salama,ng'wangu,isolo,jinjimili, kabale,n'hobola,igombe.
MLIHO BANANDAGALUUUUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tena.Mkuu nilinunua saana Zao LA Choroko huko
Sent from Calculator Phone vesion007
Mkuu hapo kadashi center ndio nyumbani kabisaNakumbuka maeneo ya Nyambiti aliyotaja chazy255 kama Kinoja ukienda Nkalalo unavuka upande wa kulia unakwenda mpaka Kadashi, Maligisu na kushoto unaingia Magu alafu ukitoka Nyambiti kuelekea kwenye unaibukia Mantale, Sumve mpaka Mwampulu
Mwaka gani Mkuu.Maeneo yote hayo ndio nilikua nikikusanyia mzigo
Kadashi ndio nilikodi kabxaaa na godown
Sent from Calculator Phone vesion007
ndo mimi mkuu! nilikua nimevaaje
Nyasubi
Hii lazima itakuwa Burundi wallah
Njia ya kwenda mtekente na mtoa kutokea misunaSongambele - Ndago Iramba
Msalimie mwalimu mkuu wa usongelani shule ya msingiKatunguru Ujamaa village , pale Ussoke Tabora
Jirani na KwiroEeeh Ndio. Mahenge,msamala,shule ya tanga
Kanyigo hiyo
mi kitobo