Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

Kaiche

Senior Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
147
Reaction score
297
Wanajamvi, habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima.
Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho.

Nahitaji Tajiri ambaye yupo tayari kununua korosho , kwa rejareja (kangomba ) kwa sababu nina uzoefu wa biashara hii na usimamizi wa zao la korosho. Kwa aliye tayari karibu sana, tuwasiliane Inbox.
 
Wanajamvi , Habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima .
Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara , Na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho.
Nahitaji Tajiri ambaye yupo tayari kununua korosho , kwa rejareja (kangomba ) kwa sababu nina uzoefu wa biashara hii na usimamizi wa zao la korosho .
Kwa aliye tayari karibu sana tuwasiliane Inbox
Wewe uko wapi?
 
Ni biashara nzuri Kwa mtazamo wangu pia, iliwahi kunipa hela nzuri miaka ya 2016 hadi 2017

Risk ya biashara hiyo miaka hii ni bei kutokuwa stable

Unaweza ukanunua Kangomba shilingi 1,200 halafu ukaja kuuza kwenye Vyama vya msingi Kwa shilingi 1,750 ukajikuta unapata Faida ndogo ya shilingi 250 hadi 350 ukiondoa running cost

Wakati miaka ya zamani ilikuwa unapata Faida mara mbili ama mara tatu ya bei unayonunulia
 
Ni biashara nzuri Kwa mtazamo wangu pia, iliwahi kunipa hela nzuri miaka ya 2016 hadi 2017

Risk ya biashara hiyo miaka hii ni bei kutokuwa stable

Unaweza ukanunua Kangomba shilingi 1,200 halafu ukaja kuuza kwenye Vyama vya msingi Kwa shilingi 1,750 ukajikuta unapata Faida ndogo ya shilingi 250 hadi 350 ukiondoa running cost

Wakati miaka ya zamani ilikuwa unapata Faida mara mbili ama mara tatu ya bei unayonunulia
Kiukweli mkuu bado korosho zinalipa tu kwa mfumo wa kangomba ila inahitaji uwe na msuli wa pesa fikiria mfano umenunua korosho kilo 5000 kwa mchanganuo wa shiling 1300 kwa kangomba ambapo hapo inajumuisha na kijana anaekununulia ambapo yeye anachukua shiling 100 kwa kila kilo ndipo inakalia hiyo 1300... kwa hiyo ukiwa na mtaji wa kununua kilo 5000 kwa thamani ya shiling 6,500,000/= ambapo hapo imejumuisha kila kitu na ukipeleka ghalani hata ukipata faida ya kila kilo shiling 250 sio mbaya kwasababu itakuwa kilo 5000×250=1,250,000 faida....sasa tuwe tu wakweli kwa mtaji wa 6500000 uzalishe faida ya 1250000 tena ndani ya wiki 2 tu unaona ni kitu kidogo?
 
Kiukweli mkuu bado korosho zinalipa tu kwa mfumo wa kangomba ila inahitaji uwe na msuli wa pesa fikiria mfano umenunua korosho kilo 5000 kwa mchanganuo wa shiling 1300 kwa kangomba ambapo hapo inajumuisha na kijana anaekununulia ambapo yeye anachukua shiling 100 kwa kila kilo ndipo inakalia hiyo 1300... kwa hiyo ukiwa na mtaji wa kununua kilo 5000 kwa thamani ya shiling 6,500,000/= ambapo hapo imejumuisha kila kitu na ukipeleka ghalani hata ukipata faida ya kila kilo shiling 250 sio mbaya kwasababu itakuwa kilo 5000×250=1,250,000 faida....sasa tuwe tu wakweli kwa mtaji wa 6500000 uzalishe faida ya 1250000 tena ndani ya wiki 2 tu unaona ni kitu kidogo?
Ni kweli inalipa lakini sio kama miaka 5 iliyopita ambapo Faida ilikuwa almost pasu pasu

Mfano kama umenunua Kangomba ya milioni 6.5 ilikuwa unapata Faida ya 7M ama 6M
 
Ni kweli inalipa lakini sio kama miaka 5 iliyopita ambapo Faida ilikuwa almost pasu pasu

Mfano kama umenunua Kangomba ya milioni 6.5 ilikuwa unapata Faida ya 7M ama 6M
Ni kweli unavyosema ila ndio hivyo mambo kwasasa yamebadilika mkuu....nakumbuka nilivyokasigana na hela ule msimu wa 2015-2016 kuna shemeji yangu yupo Mozambique alinishauri sana tukavushe korosho kule ilikuwa shiling 900 mpaka zinatua huku kwetu nikachomoa lile dili .,ila nikamchomekea mshkaji wetu mmoja ni mpemba jamaa akapeleka milion 30 aisee chuma kimekuja kujibu alilipwa 3900 kwa kilo aisee iliniuma sana
 
Ni kweli unavyosema ila ndio hivyo mambo kwasasa yamebadilika mkuu....nakumbuka nilivyokasigana na hela ule msimu wa 2015-2016 kuna shemeji yangu yupo Mozambique alinishauri sana tukavushe korosho kule ilikuwa shiling 900 mpaka zinatua huku kwetu nikachomoa lile dili .,ila nikamchomekea mshkaji wetu mmoja ni mpemba jamaa akapeleka milion 30 aisee chuma kimekuja kujibu alilipwa 3900 kwa kilo aisee iliniuma sana
Ni biashara nzuri sana ukiwa na Mtaji pia bei ikiwa nzuri

Kwasasa wanauza kilo hadi 1,880 stakabadhi ghalani 🙌
 
Ni biashara nzuri sana ukiwa na Mtaji pia bei ikiwa nzuri

Kwasasa wanauza kilo hadi 1,880 stakabadhi ghalani 🙌
Juzi kati nilikuwa tandahimba karibu na vijiji vilivyo karibu na mto ruvuma kule chomachoma ni 1200 na korosho ni nyingi balaa tani 2 unapata ndani ya siku 3 tu
 
Wanajamvi , Habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima .
Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara , Na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho.
Nahitaji Tajiri ambaye yupo tayari kununua korosho , kwa rejareja (kangomba ) kwa sababu nina uzoefu wa biashara hii na usimamizi wa zao la korosho .
Kwa aliye tayari karibu sana tuwasiliane Inbox
Stakabadhi gjalani vipi ? Utakamatwa ulanguzi au??
 
Kiukweli mkuu bado korosho zinalipa tu kwa mfumo wa kangomba ila inahitaji uwe na msuli wa pesa fikiria mfano umenunua korosho kilo 5000 kwa mchanganuo wa shiling 1300 kwa kangomba ambapo hapo inajumuisha na kijana anaekununulia ambapo yeye anachukua shiling 100 kwa kila kilo ndipo inakalia hiyo 1300... kwa hiyo ukiwa na mtaji wa kununua kilo 5000 kwa thamani ya shiling 6,500,000/= ambapo hapo imejumuisha kila kitu na ukipeleka ghalani hata ukipata faida ya kila kilo shiling 250 sio mbaya kwasababu itakuwa kilo 5000×250=1,250,000 faida....sasa tuwe tu wakweli kwa mtaji wa 6500000 uzalishe faida ya 1250000 tena ndani ya wiki 2 tu unaona ni kitu kidogo?
Wanajamvi , Habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima .
Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara , Na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho.
Nahitaji Tajiri ambaye yupo tayari kununua korosho , kwa rejareja (kangomba ) kwa sababu nina uzoefu wa biashara hii na usimamizi wa zao la korosho .
Kwa aliye tayari karibu sana tuwasiliane Inbox
[/QUOT
Kiukweli mkuu bado korosho zinalipa tu kwa mfumo wa kangomba ila inahitaji uwe na msuli wa pesa fikiria mfano umenunua korosho kilo 5000 kwa mchanganuo wa shiling 1300 kwa kangomba ambapo hapo inajumuisha na kijana anaekununulia ambapo yeye anachukua shiling 100 kwa kila kilo ndipo inakalia hiyo 1300... kwa hiyo ukiwa na mtaji wa kununua kilo 5000 kwa thamani ya shiling 6,500,000/= ambapo hapo imejumuisha kila kitu na ukipeleka ghalani hata ukipata faida ya kila kilo shiling 250 sio mbaya kwasababu itakuwa kilo 5000×250=1,250,000 faida....sasa tuwe tu wakweli kwa mtaji wa 6500000 uzalishe faida ya 1250000 tena ndani ya wiki 2 tu unaona ni kitu kidogo?
Odds 1.19 ukizidisha kwa tsh 6,500,000/= ndani ya dk 90 unampa Yanga, na team yoyote unayoiamini ww barani Africa, kokotoa mwenyewe utajua unaingiza bei gani kwa saa 1 na nusa tu, alafu uanze kutembea na M 6.5 kwenye bag huko maporini na kipindi hiki walichojipenyeza chinjachinja waporaji kupitia mwamvuli wa Siasa kwa umechoka kuishi mkuu?
 
Wanajamvi , Habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima .
Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara , Na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho.
Nahitaji Tajiri ambaye yupo tayari kununua korosho , kwa rejareja (kangomba ) kwa sababu nina uzoefu wa biashara hii na usimamizi wa zao la korosho .
Kwa aliye tayari karibu sana tuwasiliane Inbox
Unauzaje mkuu nicheki tuongee
 
Kiukweli mkuu bado korosho zinalipa tu kwa mfumo wa kangomba ila inahitaji uwe na msuli wa pesa fikiria mfano umenunua korosho kilo 5000 kwa mchanganuo wa shiling 1300 kwa kangomba ambapo hapo inajumuisha na kijana anaekununulia ambapo yeye anachukua shiling 100 kwa kila kilo ndipo inakalia hiyo 1300... kwa hiyo ukiwa na mtaji wa kununua kilo 5000 kwa thamani ya shiling 6,500,000/= ambapo hapo imejumuisha kila kitu na ukipeleka ghalani hata ukipata faida ya kila kilo shiling 250 sio mbaya kwasababu itakuwa kilo 5000×250=1,250,000 faida....sasa tuwe tu wakweli kwa mtaji wa 6500000 uzalishe faida ya 1250000 tena ndani ya wiki 2 tu unaona ni kitu kidogo?
Shida vyama havilipi on time mkuuu

Naangalia itv kila siku wanaanza akushukuru afu wanalia tunaombaa mtulipe kwa wakati

Na wengi wanassma wanalipwa wakati mwingjne .mda aa kupanda ushaisha

Kuwekeza mil 6 bila kuzunguka hili napo liangalie
 
Back
Top Bottom