Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Masasi sehemu gani?Masasi chomachoma ni 1500 hapa korosho msimu huu kutoboa 2000 ni ndoto
Sehemu nyingi 1200 //1300 Kun baaadhi ya vjj buku jero bei ya buku subiri kdg mnada upigweKwa 1000 vipi??
2000 itapita hifadhi hiiMasasi chomachoma ni 1500 hapa korosho msimu huu kutoboa 2000 ni ndoto
Jazia nyama Mkuu, au ndiyo mtu aje PM
KWanini faragha wakati kapandisha uzi humu?Jazia nyama Mkuu, au ndiyo mtu aje PM?
Imetoboa mara mbili yake mkuu 😁😁2000 itapita hifadhi hii
official ? mnada wa leo ama?Imetoboa mara mbili yake mkuu 😁😁
CCM kura nje nje mwakani
official ? mnada wa leo ama?
Kwa nini unasema CCM kura nje nje?Imetoboa mara mbili yake mkuu 😁😁
CCM kura nje nje mwakani
Safi aisee, wasije anza nywesha mbuzi soda tu🤣View attachment 3121792
Huu wa leo bro mwaka huu korosho ilivyomwagika aaah! Mpaka waseme
HahahaaSafi aisee, wasije anza nywesha mbuzi soda tu🤣
Werawera👏👏👏 nilieleza humu kuwa korosho zina pesa mno mwaka huu
Werawera[emoji122][emoji122][emoji122] nilieleza humu kuwa korosho zina pesa mno mwaka huu
Mambo ya pesa hayahitaji uoga kaka ni kujilipua tu ukiwasilikiliza watoto wa humu ambao kila kitu wanakijua huku wakiwa nyuma ya keyboard lazima ufeli....kuna kichaa kanunua korosho vijiji vya msumbiji kwa shiling 900 kwa kangomba na akazivusha kuleta TZ yeye kanunua tani 23 na chuma kimejibu hiyo bei ya elfu 4Mkuu nimekukubali,, salute kwako
Umejua kunusa harufu ya pesa mapema,, 'dhahabu nyeupe' imeitikika
Ufuta mbona tangu 2022 una pesa tu bei zinacheza tu hivyohivyo ? Mkuu unataka kuniambia kuwa CCM wana shida ya kuchaguliwa au wanajitangaza tu wenyewe?na ukizingatia upinzani dhaifu uliopo nchini sioni kama hawa wahuni CCM wana hofu yeyote ileIlikuwa ni lazima mwaka huu bei ichangamke maana mwaka ujao kuna uchaguzi, ata kwenye ufuta bei zilipanda sana kwa mwaka huu. Kwahiyo hapo hakuna jipya ni siasa za ccm tu.
Tulio soma nyakati tulipiga pesa kwenye ufuta na saizi tunapiga pesa kwenye korosho.
walio dhaifu ni wananchi wenyewe sio upinzani mkuu.Ufuta mbona tangu 2022 una pesa tu bei zinacheza tu hivyohivyo ? Mkuu unataka kuniambia kuwa CCM wana shida ya kuchaguliwa au wanajitangaza tu wenyewe?na ukizingatia upinzani dhaifu uliopo nchini sioni kama hawa wahuni CCM wana hofu yeyote ile
Hakuna mkuu viongozi wa upinzani ni dhaifuwalio dhaifu ni wananchi wenyewe sio upinzani mkuu.
sawa mkuu tuendelee kushikamanaHakuna mkuu viongozi wa upinzani ni dhaifu