Njoo tufanye kazi pamoja. Usilalamike kama unajua upo potential. Utajiri upo hapa

Njoo tufanye kazi pamoja. Usilalamike kama unajua upo potential. Utajiri upo hapa

Guru Master

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2017
Posts
226
Reaction score
594
Wadau. Mimi nimepambana nmeweza kufungua Kampuni ambayo itakuwa inajihusisha na Usafi wa Maofisini, Vyoo vya Public, Kwenye Viwanda na Majumbani.

Kampuni tayari
1. Inatambulika Brela
2. Ina TIN Number (TRA)
3. Ina Leseni ya Biashara
4. Ofisi nimeanzia hapa hapa home kwanza.

Sasa kama unadhani wewe ni potential una uwezo wa kutafuta tender tukapata. Tayari hesabu kuwa tunaelekea kutajirika au kupata pesa pamoja.la msingi tutakuwa na makubaliano ambayo yatatuongoza na yenye manufaa kwetu sote.

Kama utakuwa umejitoa zaidi kupambana nipo tayari kukupa sehemu ya share za Kampuni ukawa sehemu ya Mmiliki. La msingi ni kwamba uje na mawazo jengefu na ubunifu. Tunaweza songa mbele pamoja.

Kwa sasa nipo peke yangu napambana. So nakaribisha kila ambaye anadhani atakuwa na jambo ambalo tunaweza share. Pia atapata nafasi ya kusoma shughuli nyingine za Kampuni na kuzielewa mbali na nilizo taja.

Tusikae kulalamika tu kuhusu ajira tushikane mikono tufanye kitu pamoja. Kila jambo tutalifanya kwa utaratibu rasmi kabisa.

Karibu private/pm/inbox tuweze shauriana.
 
Wadau. Mimi nimepambana nmeweza kufungua Kampuni ambayo itakuwa inajihusisha na Usafi wa Maofisini, Vyoo vya Public, Kwenye Viwanda na Majumbani.

Kampuni tayari
1. Inatambulika Brela
2. Ina TIN Number (TRA)
3. Ina Leseni ya Biashara
4. Ofisi nimeanzia hapa hapa home kwanza.

Sasa kama unadhani wewe ni potential una uwezo wa kutafuta tender tukapata. Tayari hesabu kuwa tunaelekea kutajirika au kupata pesa pamoja.la msingi tutakuwa na makubaliano ambayo yatatuongoza na yenye manufaa kwetu sote.

Kama utakuwa umejitoa zaidi kupambana nipo tayari kukupa sehemu ya share za Kampuni ukawa sehemu ya Mmiliki. La msingi ni kwamba uje na mawazo jengefu na ubunifu. Tunaweza songa mbele pamoja.

Kwa sasa nipo peke yangu napambana. So nakaribisha kila ambaye anadhani atakuwa na jambo ambalo tunaweza share. Pia atapata nafasi ya kusoma shughuli nyingine za Kampuni na kuzielewa mbali na nilizo taja.

Tusikae kulalamika tu kuhusu ajira tushikane mikono tufanye kitu pamoja. Kila jambo tutalifanya kwa utaratibu rasmi kabisa.

Karibu private/pm/inbox tuweze shauriana.
Location yako iko wapi ?
 
Hongera sana Mungu akubariki kwenye safari yako ya utafutaji, utakutana na milima na mabonde lakini hata siku moja usikate tamaa.
 
Upo peke yako au wawili.
Maana Kampuni inaanza na watu wawili.
Huyu mwingine yupo tu not that active na yupo sababu ilitakiwa awepo na mwingine. Ana share ndogo sana. Asilimia 90 ni zangu.
 
Wadau. Mimi nimepambana nmeweza kufungua Kampuni ambayo itakuwa inajihusisha na Usafi wa Maofisini, Vyoo vya Public, Kwenye Viwanda na Majumbani.

Kampuni tayari
1. Inatambulika Brela
2. Ina TIN Number (TRA)
3. Ina Leseni ya Biashara
4. Ofisi nimeanzia hapa hapa home kwanza.

Sasa kama unadhani wewe ni potential una uwezo wa kutafuta tender tukapata. Tayari hesabu kuwa tunaelekea kutajirika au kupata pesa pamoja.la msingi tutakuwa na makubaliano ambayo yatatuongoza na yenye manufaa kwetu sote.

Kama utakuwa umejitoa zaidi kupambana nipo tayari kukupa sehemu ya share za Kampuni ukawa sehemu ya Mmiliki. La msingi ni kwamba uje na mawazo jengefu na ubunifu. Tunaweza songa mbele pamoja.

Kwa sasa nipo peke yangu napambana. So nakaribisha kila ambaye anadhani atakuwa na jambo ambalo tunaweza share. Pia atapata nafasi ya kusoma shughuli nyingine za Kampuni na kuzielewa mbali na nilizo taja.

Tusikae kulalamika tu kuhusu ajira tushikane mikono tufanye kitu pamoja. Kila jambo tutalifanya kwa utaratibu rasmi kabisa.

Karibu private/pm/inbox tuweze shauriana.
Hongera sana ngoja waje
 
Back
Top Bottom