Njoo Tupeane Mbinu Za kuwakwepa Vibaka

Njoo Tupeane Mbinu Za kuwakwepa Vibaka

Naifahamu mbinu mojawapo, ukivamiwa na vibaka, usikubali kukosa vyote, usibishane nao, fanya moja kati ya yafuatayo, Kama umevaa saa itoe na uirushe mbali, au uelekeo waliko watu au kichakani. Unaweza kufanya hivyo kwa simu au wallet. Ukifanya hivyo kama wapo wawili au zaidi watagawanyika, wengine kukusachi na wengine kukimbilia ulichorusha.

Hapo watakuachia upenyo wakupambana na mara nyingi ukirusha kitu, akili zao huwaaminisha kuwa ni kitu cha thamani hivyo wote hukimbilia na kuanza kusigana kukitafuta.

Hapo nunua bandle la Hussein Bolt, kama kwenu ni Masaki, waje wakukutie Mbagala au Gongo la mboto.
 
Ya nini kujipa mateso yote hayo cha muhimu ni kutafuta mahari pazuri pakuishi na kujitahidi kurudi kwenye makazi yako mapema vile vile kuepuka kupita kwenye chochoro.
Ha ha ha wewe hujaishi maeneo kama Arusha, wanakukaba wakati wa adhana ya mchana, kweupe pepe jua linawaka, wew unasema usiku?

Watakukabia mlangoni kwako saa 12 ilimradi wameshakupania
 
.....
Hapo nunua bandle la Hussein Bolt, kama kwenu ni Masaki, waje wakukutie Mbagala au Gongo la mboto.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii nayo madhubuti hii
 
sawa mkuu
Tembea usiku afu umevaa pensi na vest uturahisishie shughuli.

Utapigwa bao 10 in 10mnts na vidume tofauti, sasa ukute ndiyo uko kwenye tarehe za utamu watadhami wanakukomoa kumbe wewe ndiyo unawafaidi, shida akizaliwa mtoto hujui baba ni yupi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata kukimbia umeshindwa?
mkuu vibaka waliojipanga wanakaa kwa fomation yan ukiingia kwenye anga zao ni bora utoe tu labda wanaweza kukuacha salama
 
mkuu vibaka waliojipanga wanakaa kwa fomation yan ukiingia kwenye anga zao ni bora utoe tu labda wanaweza kukuacha salama
Mmhh atakayekua uelekeo unaotaka kukimbilia hakikisha anaona ukiwa unainama na kuokota mawe huku unamfuata.
 
Hamna haja ya kuvaa vest na jeans usiku,
Tupia kipapaa bila kusahau neck tai yako,

Ukifika vichocholoni kwa wahuni kunja suruali mpaka usawa wa magoti , kunja shati kisha vua tai ,anza kutembea ki alosto,

Ukivuka eneo la hatari kunjua shati na suruali kisha vaa tai yako,

Njia ya pili ni kutembea na kamanati pamoja na goroli, ukifika eneo husika hamna kuuliza wewe ni kushusha goroli tuu, baada ya sekunde kadhaa njia nyeupeeee
 
Hamna haja ya kuvaa vest na jeans usiku,
Tupia kipapaa bila kusahau neck tai yako,

Ukifika vichocholoni kwa wahuni kunja suruali mpaka usawa wa magoti , kunja shati kisha vua tai ,anza kutembea ki alosto,

Ukivuka eneo la hatari kunjua shati na suruali kisha vaa tai yako,

Njia ya pili ni kutembea na kamanati pamoja na goroli, ukifika eneo husika hamna kuuliza wewe ni kushusha goroli tuu, baada ya sekunde kadhaa njia nyeupeeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hiyo njia ya kwanza utamponza mtu hii ya pili hii inaweza kukuvusha salama
 
Epuka kitembea usiku sana ukiwa umelewa....kuna watu wakilewa wanajuamini kijinga kupita uhalisia.
 
Tembea usiku afu umevaa pensi na vest uturahisishie shughuli.

Utapigwa bao 10 in 10mnts na vidume tofauti, sasa ukute ndiyo uko kwenye tarehe za utamu watadhami wanakukomoa kumbe wewe ndiyo unawafaidi, shida akizaliwa mtoto hujui baba ni yupi.
mkuu we ni mbakaji kumbe?
 
Hahah saw mkuu,mi saut apo ndo inabidi nijiongez iwe nzto nkiongea na jamaa waniogope kweli.
 
Back
Top Bottom