[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hizo mbio nadhani hadi wao wenyewe walienda kuulizana maskani, jinsi gani ulipotea hapo hapo.Hahahaaa ,ilinitokea Dodoma sehemu flan karibu na bot mkabala na veta pale,,nilikuwa na msela flan sasa bhna msela kumbe ashakabwa tena bhna,,mm nilochezwa chale nikamwambia msela tuokote mawe,tukakatisha ile kufika katkat uwanjani Mara gafla hawa duh nilichoshuhudia msela anadondosha mawe sasa mm nikawa nimevaa sweta nikaitoa nikaiweka chini aaf huko naona msela anagalagazwa mbaya,,bapa zinamalalia mbaya,,mm nikawa napambana kiroho safi,,nilinilivosikia aaf huyu dogo si ndio wa siku ile kule chini nikaona kumbe ni wa hapa hapa, sasa bhna mm nilikabiziwa tall mmoja ivi coz siwaliniona mpole aaf hapo Nina HTC yangu inang'a et nitoe pasword,kugeuka mshkaji kifua wazi kule duh mm sijui Nilipata wap nguvu nilimchap tall kitu ya matumla usoni pwaaaa alafu Mimi huyoooooo nilishuhudia na wenyewe wanatembea kila MTU usawa wake,,nimefika kambi msela anakuja na boxer dah nilicheka,,,kwa wa kwa kwa kwa kwa
Aaan acha afu uzuri nilikuwa nimevaa raba, nilitembea kama huseni bolt dah achaeni,,wanasemaga uoga nao n akili niliamini iyo siku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hizo mbio nadhani hadi wao wenyewe walienda kuulizana maskani, jinsi gani ulipotea hapo hapo.
[emoji23] [emoji12] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kumbe kuna hadi kunuia!!!? Ebwana wewe dawa yako MondrayWewe njoo na mbinu zako zoote ukinikuta anga zangu,,,
Lazma ule loba tu.
Labda sijakunuia mkuu.
Tena nikikunuia hapo lazma nikuekee na alama ya maisha.[emoji23] [emoji12] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kumbe kuna hadi kunuia!!!? Ebwana wewe dawa yako Mondray
Ndo zetu, sie wengine tushazoea. Tandika nimekaa sana kilimahewa, chiota yote kwangu.Ndugu yangu alitoka mkoa akaingia Dar usiku akawa anakuja kulala kwangu huku uswazi Tandika nikamwambia hadi ufike kwangu utakuwa ashaporwa hadi korodani akasema nitafika tu. Alishuka ubungo saa sita kasoro usiku
Alitumia mbinu ile ya kuvua tshirt akaichomeka kwenye kiuno ikawa inaning'nia kama mkia hivi na suruali yake ya jinsi akakunja mguu mmoja ikafika magotini
Alivua raba akatundika begani akabakia peku peku na sigara alivuta sigara nyota siku hiyo .
Alipishana nao vibaka wanampa salam tu " vipi mwana " anawajibu "mwana huko nilikogusa bilabila mwana "
Wanajua mwenzao [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Alifika salama kabisa nyumbani kwangu Tandika saa saba na nusu [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
hahahaha nakuwa na confidenc huwezi amini na mkoba wangusaHahahahahahahaha umetisha.
miss chaga mbinu za wanawake moja wapo hii hapa
sasa manati halafu unazurura vichochoroni by ngondi?Mi mbinu yangu ni manati ya kizungu tu kila sehemu lazima niwe nayo.
Usisahau kuleta mrejeshonitajitahidi kufanya izo mbinu nione matokeo yake yatakuaje