Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Hiki kiss sio mahala pake hapa, ungekipeleka kule kwenye Kula tunda kimasihara
 
Dah.. inasikitisha sana
 

Huyo jamaa alikuwa ni muuaji tu
 
Tukamaliza, kesho yake tukarudi home. Hali ikatulia ila baada ya muda wale wachawi sijui walireceive Major updates sijui walitumia VPN gani moto ukawa pale pale.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa walitumia VPN ku_bypass dawa za mganga
 
Hata ningekuwa mie sikubali mbusus ilivo ile tena za wachawi zinakuwaga zimeumuka flani hivi mweee!! inajaa kwa kiganja! hapo hata mie niroge tu yaishe!! !

kwa hiyo madogo wakapanga kabisaaa! tuseme tumerogwaaa!? yaani Duniani kuna mamboo!! ........angekuwa Discpline master wetu hao wange koma kwa fimbo!!! yaani mume mwachia mchawiiiiiii! why?? rara chini! kuchimba visiki!! tena na

mkamrete tena mchawi wangu km alivo kuwa paree uchi!! si munamujua jina!
 
Elijah mtume na gerhaz mtumishi wake
 
Fisi? Dah[emoji1787][emoji1787]
 
Dah umenikumbusha habari za kuchimba visiki vya mnazi... Academic master a.k.a tulikuaa tunamuita " kihotpot" mkaksi adhabu zake push up mia na kuchimba Visiki anaweza akakupa hata visiki vitano.. Sema wana tulikuwa tunapigana tafu jion kuchimba visiki maana hujui kesho unaweza ukapewa wewe kisiki

Ana msemo.wake anasema mitoto ya siku hiz imekuwa kama mazezeta unamgombeza anakuangalia tu wala hasemi samahan sababu wamemzulumu ndama maziwa yake.. Wamekulia maziwa ya ng'ombe badala maziwa ya mama zao wamekuwa na akili za ndama
 
Weka na hiyo nyingine Ngulukizi
 
Ndugu umesema ukiwa na mganga wako baharini aliibuka jini mwanamke mwenye urefu usioelezeka, ukakimbia wasaidizi wa mganga wakakudata. Unaweza niambia ulikimbiaje baharini? Ulikimbia kwa miguu ama mtumbwi ama boti?
 
Ndugu umesema ukiwa na mganga wako baharini aliibuka jini mwanamke mwenye urefu usioelezeka, ukakimbia wasaidizi wa mganga wakakudata. Unaweza niambia ulikimbiaje baharini? Ulikimbia kwa miguu ama mtumbwi ama boti?
Amesema walikuwa baharini, ila hajasema kuwa walikuwa ndani ya maji (think that way, then maswali yako yote yatajibika)

By the way, mleta mada alishatangulia mbele ya haki, thats why nimesaidia kujibu.
 
Dunia hii kuna watu wana roho za kishetani sana basi tu
 
Pengine ndio maana umekuwa mjanja wa kijiji, ulienda kuwanga bila kuwa mchawi chief
 
Yaani nimemu admire kwa hilo, nimejifunza kitu kutokana na hio story, wazazi inabidi wawe close na watoto wao kuwahoji na kusikiliza yanayoendelea kwenye maisha ya mtoto
Asilimia kubwa ya sisi huku hili jambo hatufanyi kabisa, sio kwa watoto wetu tu, hata sisi hatukufanyiwa ndio maana tunalipuuzia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…