Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Mkuu mbona kama fix hivi? Yaani kama zile shuhuda za walokole za kutunga?!
 
Waalimu wa shule za msingi miaka ya nyuma walikuwaga wakuda sana halafu wapenda sifa yaani kuna mwalimu zamu yake mnahesabu bamba saa kumi na moja alfajiri!
Sasa wengi ilitutokea kuamka usiku wa manane ukiona mbalamwezi unajua kumekucha unakurupuka kuwahi kumbe bado ucku!
 
Hatari sana.
 
Wewe ni mbadhiri wa Mungu tangu utotoni,

Wewe ni mtu ambaye asili Yako ni Kutoka juu,

Nikiseme mengi hapa, ila dumu katika kumtumikia Mungu.

Ubarikiwe 🙏
 
Hii imewahi kunikuta japo mimi sikukutana na vitu vya ajabu tofauti na manyau makubwa ambayo hadi leo sijapata kuona nyau wakubwa namna ile
 
Mk

Mkuu huyu mtoa maada alishatangulia mbele za haki mda kidogo .
Bado unako hako ka hirizi? Mtukutu wa Nyaigela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…