Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

si kakuona wewe ndio mnyonge wake[emoji2]
dah kwakweli ananinyoosha asee maana nakumbuka siku nlomwita nije muomba msamaha nlipo kutana nae nlichoka alinambia nitangulie sehem ambayo hua tunakutania

nkatangulia nlipofika hayupo ila alivyokuja sikumwelewa nliona mtu kashafika tu

Noma sana kiukweli...[emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using My COVID-19
 
Jiongeza mdogo wangu hapo dingi alipitiwa na usingizi kwa maza mdogo au ulitaka asemeje
Mzee anasimulia Zamani za Kale, Kipindi katoka akumuoa Mama yangu alitoka Kupata Kilaji Kidogo kwenye Kasenta Ketu hako ( Mji wetu) around 1960s.
Sasa ile anarudi home, yaani Kufika Junction ambapo kupafikia Nyumbani ni Kama Mita 200, akakutana na huyo Jamaa Mrefu. Mshua alikuwa anakula Fegi, anakwambia Fegi Ikadondoka Palepale, ile Kukimbia, aisee anakuta Karibia Kunapambazuka ndiyo akili inamrejea yupo takribani 25Kms toka home. Ndiyo akaanza Kujikongoja Kureje home karibia Kumepambazuka tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nacheka kama mazuri[emoji23][emoji23]
dah kwakweli ananinyoosha asee maana nakumbuka siku nlomwita nije muomba msamaha nlipo kutana nae nlichoka alinambia nitangulie sehem ambayo hua tunakutania

nkatangulia nlipofika hayupo ila alivyokuja sikumwelewa nliona mtu kashafika tu

Noma sana kiukweli...[emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using My COVID-19
 
Na mimi sijui nimefanyiziwa?kuna demu wa kipemba niliwahi kuwa nae kipindi nilienda zenj kutafuta maisha,demu alinipenda sana aliniuliza kama nitamuoa nikwambia ndio siwezi kukuacha mzee nimekula sana mzigo,kuna sku yule demu akikuwa jikoni anapika mara nyingi tukibaki wenyewe nakua nae mpaka jikoni tunapoga story basi akaniambia yeye anaumwa ila kuna dawa kapewa na babu yake achome kwenye moto,alikuwa na vikaratas vimeandikwa kiarab arabu akaniambia nimsaidie kweli na mimi nakumbuka nilivichoma kadhaa,dem nilikuwa nampenda sana tulikuww tunajificha mpaka ikawa wazi sasa kuna aunt nilikuwa naishi nae kuna siku akaniambia mwaj kakuroga nimeona barua kwenye begi lake akipewa maelekezo jinsi ya kufanya.mimi nikawa nabisha nilihis hiyo aunt hataki tu mahusiano yetu,kwakufupisha demu nilikuja kutemana nae yani ilitokea nikimuona moyo unapasuka kama hajaniona nabadili njia .akinitafuta namkwepa miaka hiyo hakuna cm,tatzo nilokuwa nalo mpaka sasa madem napata lakin show zinakuwa mbovu sometimes mashine inagoma kabisa.huwa nafikiria sijui atakuwa yeye kasababisha?manake aliniambia ukiniacha sikusameh mda mwingine nafkiria niende zenj nikamtafute labda anaweza kutegua mitego.kile kipindi cha mwanzo wakati nimemuacha nilikuwa namsikia usingizini ananiita jina langu dirishani nikistuka simuon hiyo hali ya saut yake ilidum kama niez 3 ila sio kila siku
😁😁😁😁Syo lazima urudi Zenji ata apo ulipo unaweza kujitegua
 
Na mimi sijui nimefanyiziwa?kuna demu wa kipemba niliwahi kuwa nae kipindi nilienda zenj kutafuta maisha,demu alinipenda sana aliniuliza kama nitamuoa nikwambia ndio siwezi kukuacha mzee nimekula sana mzigo,kuna sku yule demu akikuwa jikoni anapika mara nyingi tukibaki wenyewe nakua nae mpaka jikoni tunapoga story basi akaniambia yeye anaumwa ila kuna dawa kapewa na babu yake achome kwenye moto,alikuwa na vikaratas vimeandikwa kiarab arabu akaniambia nimsaidie kweli na mimi nakumbuka nilivichoma kadhaa,dem nilikuwa nampenda sana tulikuww tunajificha mpaka ikawa wazi sasa kuna aunt nilikuwa naishi nae kuna siku akaniambia mwaj kakuroga nimeona barua kwenye begi lake akipewa maelekezo jinsi ya kufanya.mimi nikawa nabisha nilihis hiyo aunt hataki tu mahusiano yetu,kwakufupisha demu nilikuja kutemana nae yani ilitokea nikimuona moyo unapasuka kama hajaniona nabadili njia .akinitafuta namkwepa miaka hiyo hakuna cm,tatzo nilokuwa nalo mpaka sasa madem napata lakin show zinakuwa mbovu sometimes mashine inagoma kabisa.huwa nafikiria sijui atakuwa yeye kasababisha?manake aliniambia ukiniacha sikusameh mda mwingine nafkiria niende zenj nikamtafute labda anaweza kutegua mitego.kile kipindi cha mwanzo wakati nimemuacha nilikuwa namsikia usingizini ananiita jina langu dirishani nikistuka simuon hiyo hali ya saut yake ilidum kama niez 3 ila sio kila siku
[emoji16]Kwahiyo kabisa ulimsaidia kuchoma talasimu zako mwenyewe, akuloge vizuri. Hizo uloona kwenye karatasi yenye maandishi, tena huwa mekundu inaitwa talasimu. Hayo yaliyoandikwa kama mlengwa wewe, basi huwa na jina lako kabisa
 
[emoji16]Kwahiyo kabisa ulimsaidia kuchoma talasimu zako mwenyewe, akuloge vizuri. Hizo uloona kwenye karatasi yenye maandishi, tena huwa mekundu inaitwa talasimu. Hayo yaliyoandikwa kama mlengwa wewe, basi huwa na jina lako kabisa
Ndio yalikuwa mekundu mi nilikiwa sielew nikaona namsaidia vp mkuu atakuwa amenifanya nini?demu alinipenda sana kuna vitu alivifanya kwa ajili yangu akiamini nitamuoa lakin nilimkimbia nikawa namuogopa tu bila sababu, na usiku nilikuwa akiita jina langu kama mtu mwenye huzuni hivi lakin ikaja kuacha nimpe msaada kama unaelewa haya mambo.kwasabu hata maisha yangu sio kama ilivyokuwa nafkiria na kupambana.
 
Ndio yalikuwa mekundu mi nilikiwa sielew nikaona namsaidia vp mkuu atakuwa amenifanya nini?demu alinipenda sana kuna vitu alivifanya kwa ajili yangu akiamini nitamuoa lakin nilimkimbia nikawa namuogopa tu bila sababu, na usiku nilikuwa akiita jina langu kama mtu mwenye huzuni hivi lakin ikaja kuacha nimpe msaada kama unaelewa haya mambo.kwasabu hata maisha yangu sio kama ilivyokuwa nafkiria na kupambana.
😂😂😂😂
Ulikuwa unamsaidia kuchoma!
 
Ndio yalikuwa mekundu mi nilikiwa sielew nikaona namsaidia vp mkuu atakuwa amenifanya nini?demu alinipenda sana kuna vitu alivifanya kwa ajili yangu akiamini nitamuoa lakin nilimkimbia nikawa namuogopa tu bila sababu, na usiku nilikuwa akiita jina langu kama mtu mwenye huzuni hivi lakin ikaja kuacha nimpe msaada kama unaelewa haya mambo.kwasabu hata maisha yangu sio kama ilivyokuwa nafkiria na kupambana.
Huyo alikuwa na malengo naye, wewe ukawa chovyachovya. Alikupenda sana, yote alifanya hayo usiondoke. Kabla ya kukusaidia, niambie kwanza ni dini gani ili nikueleze ukafanyaje.

Hizo dude ungekuwa unazijua toka mwanzo ungemtilia ubani kwenye moto zipite kwenye hiyo tarasimu ndiyo uchome moto. Zisingekuwa na nguvu yeyote
 
Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Na kwa Bahati nzuri akaweka kizuizi kwa kupitia uwezo wake wa kiungu hili tusiweze kushuhudia viumbe hivyo ambavyo havionekani kwa macho yetu ya kibinadamu isipokua kwa utaalamu flani wa mambo ya kiroho.

Viumbe hivyo vikiwemo , Malaika, Majini , Wachawi pamoja na viumbe vingine vya kutisha sana, ikiwemo wanyama wa ajabu wenye ukubwa wenye kutetemesha na kuogofya kwa wanadamu wa kawaida.

Danieli 7:4 “Wa kwanza alikuwa kama simba, naye alikuwa na mabawa ya tai; nikatazama, hata mabawa yake yakafutuka manyoya, akainuliwa katika nchi, akasimamishwa juu kwa miguu miwili kama mwanadamu; naye akapewa moyo wa kibinadamu.”

Danieli 8:3 “Ndipo nikainua macho yangu nikaona, na tazama, mbele ya mto alisimama kondoo mume, mwenye pembe mbili; na pembe zile mbili zilikuwa ndefu; lakini moja ilikuwa ndefu kuliko ya pili, na ile iliyokuwa ndefu zaidi ilizuka mwisho.”

Danieli 8:5 “Nami nilipokuwa nikifikiri, tazama, beberu akatoka upande wa magharibi, juu ya uso wa dunia nzima, bila kuigusa nchi; na beberu yule alikuwa na pembe mashuhuri kati ya macho yake.”

Danieli 7:6 “Kisha nikatazama, na kumbe! Mnyama mwingine, kama chui, naye juu ya mgongo wake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege; mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne; akapewa mamlaka.”

Wengi tukisoma Habari kama hizi za kuona simba mwenye vichwa vinne na miguu kama ya binadamu, beberu mwenye pembe kumi, nyoka mwenye vichwa saba na wanyama wengine wa kutisha, tunajipa moyo na kusema hiyo ni lugha tu ya biblia/ lugha ya picha hakuna viumbe kama hivyo. Ila ukweli ni kuwa viumbe hivyo vipo na vinaishi kwenye ulimwengu mwingine tofauti na huu wetu unaonekana. Na kuna binadamu wenzetu wameshashuhudia kabisa kwa macho yao.

Tuachane na hayo na turudi kwenye maada yetu ya leo . Tuzungumzie kuhusu mikasa ya kutisha ambayo tumewahi kukutana nayo kwenye ulimwengu huu ambayo kwa namna moja au nyingine vimekuacha midomo wazi na kukufanya uwe traumatized.

Ngoja nianze na mikasa / mambo ya kutisha niliyowahi kukutana nayo hapa duniani ambayo mpaka sasa hivi bado najiuliza kama ni viini macho au ni kweli , lakini ukweli unabaki kuwa ni kweli .

1. Jini kuchomoza baharini na kuelea hewani.

Nakumbuka ilikua ni usiku wa manane, nikiwa kwenye harakati za ushikirikina Uko sehem( sipendi kutaja jina). Nikiwa na mganga akiendelea kufanya mambo ya kishirikina baharini, Ambapo alisema anaita kiumbe( jini) hili anitimizie haja zangu . Kwa akili yangu nilijua tu ni danganya toto, hakuna lolote. Baada ya kama dakika 45 za yule mganga kufanya ushirikina wake. Ghafla akatokea mwanamke mrefu tofauti na urefu wetu wa kawaida wa binadamu alikua baharini anaelea tu, miguu haionekani kwa kweli nilikimbia, Bahati nzuri wale wasaidizi wa mganga wakanikamata kunizuia nisikimbie. Uzuri hakua anatisha wala nini, alikua tu ni mwanamke wa kawaida ingawa alikua na urefu usio na kawaida, na alikua kakasirika sana, alikua analalamika tunamuita sana tuna shida gani.....

2. Niliwahi kushuhudia kwa macho yangu , binadamu akiwa nusu mtu , nusu simba, Ana sura ya kutisha sana , mbaya mfano hakuna, ilibaki kidogo tu nizimie.

3. Binadamu mfupi kama stuli, Ana ndevu nyingi mpaka chini na alikua na mguu mmoja tu , na macho yake yanawaka moto.

4. Mzimu wa mtu maarufu ambaye alikufa miaka mingi iliyopita.

Hii ndo mikasa ya kutisha niliyowahi kukutana nayo hapa duniani, ambayo kiukweli mpaka leo inanipa shida sana, na ilichukua miaka kadhaa mpaka kuweza kukubali hii hali mpaka kufikia kuzoea kidogo. Ila hapa duniani kuna viumbe vya ajabu mno, na kama ukitaka kuviona unaweza.

View attachment 1430585



Sent from my iPhone using JamiiForums
Mrembo anapiga sarakasi akiwa uchi mchana kweupeeee
 
Back
Top Bottom