Njoo tutabiri mambo/matukio yatakayotukia mwaka huu 2021

Njoo tutabiri mambo/matukio yatakayotukia mwaka huu 2021

Habari wakuu..huu uzi ni maalum kwa ajili ya kutabiri/kubashiri mambo au matukio yatakayotokea nchini na duniani kwa ujumla..ni kwa ajili ya burudani tu na kupima nguvu/bahati/kipawa ulichonacho juu ya utabiri..

Unaweza kutabiri chochote kile..kitakachotukia kabla ya desemba 2021.iwe siasa mchezo,elimu,watu,wanyama n.k

Karibuni

tukio likitokea kama lilitabiliwa humu basi utakuwa umetisha na utakuwa ni mmoja kati ya watu wenye vipawa duniani


Mi natabiri mwaka huu kuna timu moja kubwa sana hapa Tanzania itapata pigo kubwa kwa kufungwa 3-0 na timu ndogo ambayo wengi hawakudhania
Mimi nilitabiri kifo cha maguri au kushindwa kuendelea na Urais mwaka 2016 nakuomba unisaidie kuniombea kwa MODS wanirudishie uzi wangu maana waliufuta.Jina la uzi wangu ni ''NDOTO ZILIZOTIMIA''
 
Mimi nilitabiri kifo cha maguri au kushindwa kuendelea na Urais mwaka 2016 nakuomba unisaidie kuniombea kwa MODS wanirudishie uzi wangu maana waliufuta.Jina la uzi wangu ni ''NDOTO ZILIZOTIMIA''
Wamekusikia lakini huu unahusu mwaka 2021
 
Hakuna ukweli wowote katika utabiri wa kwenye mitandao, ni chuki tu humsukuma mtu, yani kwa kifupi Hakuna mambo ya kutabiri tabiri hapaa...
 
Simba Sc itatolewa kwenye CAFCL hata ya nusu fainali kwa mikwaju ya penalty.
 
Hakuna ukweli wowote katika utabiri wa kwenye mitandao, ni chuki tu humsukuma mtu, yani kwa kifupi Hakuna mambo ya kutabiri tabiri hapaa...
Hakuna ukweli wakati jamaa hapo juu katabiri tukio na limetokea kwa asilimia 99
 
Kiongozi mkubwa africa mashariki atakata moto.


Serikali ya Tanzania Itakubali chanjo na itakuwa lazima kwa kila.mwananchi kupata chanjo (Covid19)
Ha ha haa,watu mpo kwenye mtandao aisee
 
Back
Top Bottom