Nisiwachoshe na maandishi mengi; mimi ni kijana ambaye nina uzoefu kidogo na miti na matumizi yk nipo dsm kwa sasa kwa mapumziko ya mwezi hapa nilikuwa nataka mjasiriamali wa kutengenza nae sabuni za kuoga zenye ubora kuizida zoazoa na pyaar fomula ipo na na uhakika nayo with a right person tutatakeover soko la sabuni za urembo kwa yeyote anayeshugulika na hiyo industry ani pm ama kujitokeza hapa kufanya nae kazi.
Gud day.
Hapo hujaeleweka vizuri, unataka partner wa kufanya nae kazi au unataka mtaalamu wa kutengeneza hizo sabuni? Na kama ni partner weka wazi mchanganuo wa biashara inakuwaje na ni kiasi gani kinatakiwa Kuwekeza