bilengeh
Senior Member
- Mar 31, 2017
- 135
- 86
Habari za mchana wana forum.
Nisiwachoshe na maandishi mengi; mimi ni kijana ambaye nina uzoefu kidogo na miti na matumizi yk nipo dsm kwa sasa kwa mapumziko ya mwezi hapa nilikuwa nataka mjasiriamali wa kutengenza nae sabuni za kuoga zenye ubora kuizida zoazoa na pyaar fomula ipo na na uhakika nayo with a right person tutatakeover soko la sabuni za urembo kwa yeyote anayeshugulika na hiyo industry ani pm ama kujitokeza hapa kufanya nae kazi.
Gud day.
Nisiwachoshe na maandishi mengi; mimi ni kijana ambaye nina uzoefu kidogo na miti na matumizi yk nipo dsm kwa sasa kwa mapumziko ya mwezi hapa nilikuwa nataka mjasiriamali wa kutengenza nae sabuni za kuoga zenye ubora kuizida zoazoa na pyaar fomula ipo na na uhakika nayo with a right person tutatakeover soko la sabuni za urembo kwa yeyote anayeshugulika na hiyo industry ani pm ama kujitokeza hapa kufanya nae kazi.
Gud day.