fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Usidharau mtu anaweza kuwa na maoni ya maanaKwahiyo shabiki tu tena mtu asiyejua kuandika na kusoma aushauri uongozi?
Kwa sasa nitajikita tu kwenye kipengele cha miundombinu. Natamani kuona Yanga wanamiliki uwanja wao wa kisasa na uliokamilika kwa ajili ya mazoezi, mechi za ligi kuu, na pia zile za Kimataifa.kama wewe ni mwananchi njoo tuwashauri viongozi juu ya mambo yafuatayo:
1. Usajili wa wachezaji,je wansajili nani na wamuache nani msimu ujao...
Ili binafsi napingana na wewe, labda uwanja wa mazoezi pekee nitakubaliana na wewe.Kwa sasa nitajikita tu kwenye kipengele cha miundombinu. Natamani kuona Yanga wanamiliki uwanja wao wa kisasa na ulio.
Kwani hayo makato yatawaathiri Yanga tu! Vipi kuhusu Azam, Ihefu, nk! Yaani uwanja wa Taifa ukifungwa kwa ajili ya matengenezo au ratiba nyingine, basi ni sahihi kabisa kwa timu kama Yanga kwenda kucheza Chamazi Stadium!Ili binafsi napingana na wewe, labda uwanja wa mazoezi pekee nitakubaliana na wewe. Ila uwanja...
Ndio maana nimesema kuwa kwa uwanja wa mazoezi nakubaliana nawe ila kwa uwanja kwaajili ya mechi unachookoa ni kiasi kidogo tu. Kwanza kilichopaswa ni kupaza sauti kwa haya makato mengi yasiyo na maana. Kihesbabu tu unadhani kama uwanja wa Yanga umeingiza mapato ya sh milioni mia tano kwa mechi moja, je kutakuwa na tofauti kubwa kiasi gani katika kiwango anachokipata Yanga kwa kuchezea viwanja vya serikali kwa mapato hayo hayo. Point yangu sio kwamba ni nani atakayenyonywa bali napingana na sera ya TFF ya unyonyaji katika mgawanyo wa mapato ya viingilio.Kwani hayo makato yatawaathiri Yanga tu! Vipi kuhusu Azam, Ihefu, nk! Yaani uwanja wa Taifa ukifungwa kwa ajili ya matengenezo au ratiba nyingine, basi ni sahihi kabisa kwa timu kama Yanga kwenda kucheza Chamazi Stadium!
Unaona ni sahihi kabisa wakati wa Pre season Yanga kwenda kukodi maeneo ya kufanyia mazoezi, huku timu ikiwa na umri sawa na mzee kikongwe!! Miaka zaidi 80, Yanga iendelee tu kutegemea viwanja vya serikali, kwa sababu ya kuhofia makato!!
Aisee katika hili, hapana.
Waambie Bahati haiji mara mbili.Kama wewe ni mwananchi njoo tuwashauri viongozi juu ya mambo yafuatayo:
1. Usajili wa wachezaji, je wansajili nani na wamuache nani msimu ujao?
2. Je, kocha yupi aongezwe ambae kwa sasa hawana?
3. Tathmini ya klabu tayari kwa kuuza hisa,unadhani ni kampuni ipi au mtaalamu yupi anafaa kufanya kazi hiyo?
4. Ujenzi wa miundo msingi ni kifanyike wajenge kiwanja, hostel, hospitali na ununuzi wa vifaa vya muhimu vya mazoezi nashukuru kwa wote mtakaosoma na kutoa maoni kwenye yzi huu
maoni mazuriKwa sasa nitajikita tu kwenye kipengele cha miundombinu. Natamani kuona Yanga wanamiliki uwanja wao wa kisasa na uliokamilika kwa ajili ya mazoezi, mechi za ligi kuu, na pia zile za Kimataifa.
Haiwezekani miaka zaidi 80, tangu klabu ilipoanzishwa mpaka sasa wanajivunia uwanja wa Kaunda. Inashangqza pia kuona vilabu vilivyoanzishwa miaka ya juzi kama Azam, Ihefu, nk vinamiliki viwanja vyao, halafu ukija kwa timu kubwa na kongwe kama Yanga, haina uwanja wake binafsi.
Kuhusu usajili na benchi la ufundi, nitashauri wakati mwingine.
asanteIli binafsi napingana na wewe, labda uwanja wa mazoezi pekee nitakubaliana na wewe. Ila uwanja wa kuchezea ligi kuu hilo halina faida kwa Tanzania ni kuwapa tu ulaji watu. Kwanza sheria za TFF zibadilishwe katika swala la mgawanyo wa mapato. Haiwezekani kuwe na makato mengi kiai hiko ( VAT, TFF, bodi ya ligi, BMT, DFA)
Azam ndio wanakiwanja kwa maana ya stadium, huyo Ihefu ana play ground.Kwa sasa nitajikita tu kwenye kipengele cha miundombinu. Natamani kuona Yanga wanamiliki uwanja wao wa kisasa na uliokamilika kwa ajili ya mazoezi, mechi za ligi kuu, na pia zile za Kimataifa.
Haiwezekani miaka zaidi 80, tangu klabu ilipoanzishwa mpaka sasa wanajivunia uwanja wa Kaunda. Inashangqza pia kuona vilabu vilivyoanzishwa miaka ya juzi kama Azam, Ihefu, nk vinamiliki viwanja vyao, halafu ukija kwa timu kubwa na kongwe kama Yanga, haina uwanja wake binafsi.
Kuhusu usajili na benchi la ufundi, nitashauri wakati mwingine.
Uwezekano wa kulibakiza benchi la ufundi ni mdogo sana, hapo kwa Mayele angalau kunaweza kuwa na matumaini.Ushauri wangu.
First task iwe ni kuwabakiza benchi la ufundi na wachezaji muhimu.
Second, wasajili winger moja matata sana ya kuteleza yenye uwezo wa ku cut in na kufunga. Pia waongeze kiungo no [emoji647] alete changamoto kwa waliopo.
Walete center back kusaidiana na waliopo. Na walete striker kama backup ya mzee wa kutetema na musonda.
Mwisho japo sio kwa umuhimu; uwanja ujengwe hata kwa harambee au ubia.
asante kwa maoni yakoKwa sasa nitajikita tu kwenye kipengele cha miundombinu. Natamani kuona Yanga wanamiliki uwanja wao wa kisasa na uliokamilika kwa ajili ya mazoezi, mechi za ligi kuu, na pia zile za Kimataifa.
Haiwezekani miaka zaidi 80, tangu klabu ilipoanzishwa mpaka sasa wanajivunia uwanja wa Kaunda. Inashangqza pia kuona vilabu vilivyoanzishwa miaka ya juzi kama Azam, Ihefu, nk vinamiliki viwanja vyao, halafu ukija kwa timu kubwa na kongwe kama Yanga, haina uwanja wake binafsi.
Kuhusu usajili na benchi la ufundi, nitashauri wakati mwingine.
una fununu au una bahatisha?Uwezekano wa kulibakiza benchi la ufundi ni mdogo sana, hapo kwa Mayele angalau kunaweza kuwa na matumaini.
Uhakika.una fununu au una bahatisha?
weka huo ushahidi hapaUhakika.
Bado unataka ushahidi unaothibitisha kuwa Nabi anaondoka Yanga?weka huo ushahidi hapa
Alikua haamini ngja akishaamka atakutana na hii habariBado unataka ushahidi unaothibitisha kuwa Nabi anaondoka Yanga?