fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Kama wewe ni mwananchi njoo tuwashauri viongozi juu ya mambo yafuatayo:
1. Usajili wa wachezaji, je wansajili nani na wamuache nani msimu ujao?
2. Je, kocha yupi aongezwe ambae kwa sasa hawana?
3. Tathmini ya klabu tayari kwa kuuza hisa,unadhani ni kampuni ipi au mtaalamu yupi anafaa kufanya kazi hiyo?
4. Ujenzi wa miundo msingi ni kifanyike wajenge kiwanja, hostel, hospitali na ununuzi wa vifaa vya muhimu vya mazoezi nashukuru kwa wote mtakaosoma na kutoa maoni kwenye yzi huu
1. Usajili wa wachezaji, je wansajili nani na wamuache nani msimu ujao?
2. Je, kocha yupi aongezwe ambae kwa sasa hawana?
3. Tathmini ya klabu tayari kwa kuuza hisa,unadhani ni kampuni ipi au mtaalamu yupi anafaa kufanya kazi hiyo?
4. Ujenzi wa miundo msingi ni kifanyike wajenge kiwanja, hostel, hospitali na ununuzi wa vifaa vya muhimu vya mazoezi nashukuru kwa wote mtakaosoma na kutoa maoni kwenye yzi huu