supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Dada zangu wapi,Bro acha zako
Kitambo najua mambo yako
Na hizo fikra zako
Narudia najua tatizo lako
We Bado bikra hujawahi kugusa kunako
So tuheshimu kaka zako
Sisi Toka kitambo tupo na dada zako
Wacha kumdanganya mtoto wa watu kwa maneno ya kizembe,Walikufuata matajiri visenti vya chenge
Ukakataa kuvaa gucci ukafuata Vitenge
Mi ni wako we ni wangu kwanini usiringe
Penzi lako dawa tosha siendi samunge [emoji4][emoji4]
Uwezo wangu mkubwa muulize dabi kaka yako,Demu huna? [emoji23] [emoji23] John cena basi rudi wrestlemania
Hapa ni mitongozo ya kirusi wana tunakaba mpaka cremia
Washikaji tupo in da area
Tuna teka kuku wote Cena Kausha vifaranga wacjelia
Ni kweli ilitia nanga kwenye kina kifupi wameivuta wanaojifanya wanajua sana eti wanavulia kambale meli ya makontenaIlitia nanga.
Haya.Ni kweli ilitia nanga kwenye kina kifupi wameivuta wanaojifanya wanajua sana eti wanavulia kambale meli ya makontena
Moyo wa ushairi vina. Vipo wapi vina vyako. Shunie usije [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wacha nimshushie mistari mrembo wangu.
Duniani kuna wengi,
Lakini kwako nimenasa, mtoto umeumbika utadhani ni Cleopatra wa zama hizi.
Rangi yako ya kupendeza, na ngozi yako nyororo ukichanganya na sauti yako mwanana, unifanya nipagawe.
Umahili wako katika mahaba, ni dhahiri umefundwa pia ukafundika.
Kwani asili yako mapenzi ni jadi yenu,
Uko wapi mpenzi nikupigie zeze na kukuimbia,
Nikupe maneno matamu ya huba na mahaba.
Mapema nitafika kwenu wazazio niwaone, niwaombe ruhusa mwanao nimtwae.
Wenye vifaru na mizinga wameshindwa kuniteka,
Lakini wewe kwa mahaba na maneno matamu umefanikiwa kuniteka.
Wanakuita shunie, lakini mimi upenda kukuita shuni, mtoto portable kifuani unaenea.
Love you.
baby najihisi kunenepa sio kwa mistari hii [emoji8][emoji8] love you too hun.Wacha nimshushie mistari mrembo wangu.
Duniani kuna wengi,
Lakini kwako nimenasa, mtoto umeumbika utadhani ni Cleopatra wa zama hizi.
Rangi yako ya kupendeza, na ngozi yako nyororo ukichanganya na sauti yako mwanana, unifanya nipagawe.
Umahili wako katika mahaba, ni dhahiri umefundwa pia ukafundika.
Kwani asili yako mapenzi ni jadi yenu,
Uko wapi mpenzi nikupigie zeze na kukuimbia,
Nikupe maneno matamu ya huba na mahaba.
Mapema nitafika kwenu wazazio niwaone, niwaombe ruhusa mwanao nimtwae.
Wenye vifaru na mizinga wameshindwa kuniteka,
Lakini wewe kwa mahaba na maneno matamu umefanikiwa kuniteka.
Wanakuita shunie, lakini mimi upenda kukuita shuni, mtoto portable kifuani mwangu unaenea.
Love you.
Unamsifia mistari, ha?[emoji1] [emoji1]baby najihisi kunenepa sio kwa mistari hii [emoji8][emoji8] love you too hun.
Mwambie aturudishie hela zetu[emoji23] [emoji23]Moyo wa ushairi vina. Vipo wapi vina vyako. Shunie usije [emoji125] [emoji125] [emoji125]
nan arudishe hela [emoji30]Unamsifia mistari, ha?[emoji1] [emoji1]
Hapo amezungumza
Mwambie aturudishie hela zetu[emoji23] [emoji23]
Fakalava huyo mpenzi wako mwambie achague mojanan arudishe hela [emoji30]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]shunie anasifiwa kwa mistari isiyohata na vina? Hapo sidhani kuna hata pesa ya kupaka ina.
Mwenyewe naona ameikubali kinoma,shunie anasifiwa kwa mistari isiyohata na vina? Hapo sidhani kuna hata pesa ya kupaka ina.