Njoo tuwasifu wapenzi wetu kwa Mitindo huru/freestyle.

Vipi nikizama kwa miss natafuta
Kwa upendo tangu zama, isije tokea nikajuta
Punch zipo huku mama, nakusubiri utanikuta

Penzi tamu kolea, real love si kivuli
Shoping dubai na korea, dunia nzima ijue ulivo mzuri

Siku nikikuona, nitafurahi sana
Nahisi nyuma umenona, ndo maana nakupenda tangu zama
Fumba macho usiwaone kina kaka kuona, maana hawakawii kuleta drama

Twende home uwaone anti na mama, ili wajue nakupenda sana.
 
Hii mistari umemuandikia Honey Faith huyu huyu au wapo wengi humu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…