Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Suala la kukataliwa limewafanya wavulana kutotetea uanaume wao wakidhani kuwa, hapo walipo ni kwa neema tu na si uwezo binafsi.
Unakuta mvulana anachapiwa mbususu yake aliyoitolea kodi, ila bado ana mamlaka nayo. Wanaume, njoo umshauri mvulana afanye nini pale anapokataliwa na mpenzi wake.
Mvulana kumbuka muda siyo mrefu wanaume watasakwa kwa tochi katika jamii zetu.
Unakuta mvulana anachapiwa mbususu yake aliyoitolea kodi, ila bado ana mamlaka nayo. Wanaume, njoo umshauri mvulana afanye nini pale anapokataliwa na mpenzi wake.
Mvulana kumbuka muda siyo mrefu wanaume watasakwa kwa tochi katika jamii zetu.