Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Heheheheee heeheeiiyaaaa.....
Waaalaaaaaaaaaahhh
Leo ni alhamis na ndo kumekucha hiviii. .... kila mmoja... soma, sikiliza kisha pata kijembe chako. Kila mmoja anacho chake.
Nawe kana unakijembe cha mwingine... muwekee kisha umtaje aje akisome. Ukiona aibu kumwambia au kumtaja wee nitumie PM kijembe na mhusika mie namuweka hapa pia ntakutaja kuwa kijembe kimetoka kwako.
Kazi usiku, leo siku nzima vijembe tuu.
Kasie Matata.
1. Kinyago cha mpapure. .... .mwenye yake meza hiyo dozi kutwa mara tatu.
Waaalaaaaaaaaaahhh
Leo ni alhamis na ndo kumekucha hiviii. .... kila mmoja... soma, sikiliza kisha pata kijembe chako. Kila mmoja anacho chake.
Nawe kana unakijembe cha mwingine... muwekee kisha umtaje aje akisome. Ukiona aibu kumwambia au kumtaja wee nitumie PM kijembe na mhusika mie namuweka hapa pia ntakutaja kuwa kijembe kimetoka kwako.
Kazi usiku, leo siku nzima vijembe tuu.
Kasie Matata.
1. Kinyago cha mpapure. .... .mwenye yake meza hiyo dozi kutwa mara tatu.