Njoo Uchukue Vijembe Vyako......

Hahahaaa. Sio kwa kujihami huko Dada.

Taarab ina utamu wake bana.
 
haha visokorokwinyo hawakuwepo [emoji108] [emoji108]
 
Kasie hebu nipe kijembe kwa ajili ya visokolokwinyo wanaotaka kuingilia penzi langu na mme wanguuuuuu

Hahahahhaaa wape hii dozi hapa.....


Waambie wainywe kutwa mara sita ili iwaingie vizuri. Kwa raha zenu na mpenzi wako.... wawaache myafurahie mahaba yenu.

Furaha mamaa neng'eneka mtoto wakike. .... rindima mamaa hadi mshana jr anyooshe mikono heheheeeeeeee Koolooompaaaa.

Kila la kheri mama kwwnye jahazi lako la mahaba. Mola awalinde na kuwanusuru na wenye vijiba vya roho.
 
Wazuri na wabaya wote wamo dunianii...
Waja wana roho mbaya wasokuwa na shukrani...
Maama nipe radhii nipe radhiiii kuishi na walimwengu kweli kaziiiii[emoji108][emoji108].....
[emoji444]mama nipe radhi binadamu hawana haya.. Kila nifanyalo hawaish kunisemaa...
Waja wana roho mbaya wametawaliwa na chuki.. Waniombea mabaya japokuwa mola hatakiii...[emoji108][emoji108]
 
[emoji445] katika hii dunia utapamban na mengi
muhimu kuvumilia ndio jambo la msingi
mamaa nipe radhiii nipe radhii kuishi na watu kweli kaziii[emoji445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…