Njoo Uchukue Vijembe Vyako......

Siwezi kupoteza muda wa kujibishana na wewe,mbali kushindana na wewe ni kujishushia hadhi naona umepagawa...! marehemu Reila Hatib huyo.

Twende kaziii. .....
Sina muda huo....
 
hahaha nakuona homie
 
Wamekushindwa waungwana tutakuweza sisi wajaa laana??[emoji23] [emoji23]

Hiki kijembe hata simtaji naogopa kichambo mimi
 
"Wao wao wao wajuaji wa kusema" Vifuu tundu
"Wao wao wanasema yaso mana"

"Mwanamke mmbea utamjua tu mdomo wake mweusi kama kunguru"

Hahahaaaaaa.
Me naona bora mfanye yano wahusu uo umbea wenu msopitwa Kama kasuku...
Me naona bora mfanye yano wahusu uo umbea wenu msopitwa Kama kasukuuuu
Ninyi Kama kasuku mmenifata hukuu???.
√√√√√√
 
Kwakuwa huu uzi ni wa vijembe, mie nakujibu kwa vijembe tuu....

Meza hiyoo....

Kisha ongeza na hii. ......

[emoji23][emoji28][emoji23] hahaha
hivi hizi nyimbo bado zipoo wanaimbaga?
 
Sema homie, nawewe nikutafutie kijembe chako? ? Au kama una kijembe changu wee nipe tuu au kama una kijembe cha mtu mwingine kiweke hapa.
kijembe ndio nn kwanza?[emoji20] si ni mambo yenu wanawake hayo au!!
 
[emoji23][emoji28][emoji23] hahaha
hivi hizi nyimbo bado zipoo wanaimbaga?

Zipooo tena usiombe zikuingie kwenye damuu. ... utakuwa huwezi kulala bila kusikiliza nakucheza juu aahahahahhahaa looh ila usiweke kidole juu unaweza toboa dari au ukakatwa na feni eehehehehehehehehheheheeeee Kasie mie.... acha tuu Mungu ndo ananijua vema.
 
taarabu zilikua zile za zamani wanaimba mapenzi kwa ustadi na utulivu, hizi zenu siku hizi ni maneno ya hovyo hovyo tuu kusemana semana,
 
Me naona bora mfanye yano wahusu uo umbea wenu msopitwa Kama kasuku...
Me naona bora mfanye yano wahusu uo umbea wenu msopitwa Kama kasukuuuu
Ninyi Kama kasuku mmenifata hukuu???.
√√√√√√
Hhahahaaaaaaa.

Worieeee. Uliona wapi nyumba ya udongo ikapigwa deki. Inahuuuuuuuu
We ndara tu thamani yako chooni, chumbani unaishia mlangoni.. Wambieeeeeeeeeee


Ila wasanii hawa sijui wanatoaga wapi haya maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…