Njoo Uchukue Vijembe Vyako......

Huu Uzi itasababisha wanawake washoneane sare za madela kabla ya kuingia humu

Walaaah, tunashindana kupaka wanja, kurembua macho, kunengua bila kupigana hehehehehe

Taaraab imooo humooo! !?? Taaraab hoyeeeee.
 
Kupendwa ndio huku Dada kupenda kuheshimiwe??? Kafa kaoza kwangu

..... sio awe zumbukuku kutwa kigulu na njia.....

Hahahahahahahaa taarab imooo taarab imooo. ... mambo iko hukuu.
 
Heheeee sura huna mpaka ujing'are na karo laiti hee ee Dada kilinda kinetoboka chupi mshipi domo kubwa minjino ya njano

Toobaaah mipasho mingine haivumiliki nawe unatafuta mpasho zaidi yake.....

 
"Mwanamke jeuri dawa yake muibie mumewe"

Kwa wanawake jeuri wotee[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Na unamuonesha msisitizo kwa kumtupia hiki kijembe.....


Yeye nyumba kubwa wewe nyumba ndogo hehehehehhee hatariii.
Mambo ya taarab hayoo.
 
Dada Kasie naomb wimbo fulani unaitwa "Mahaba ya dhati" original, si ule wa Ray C. Kaimba sijui ndo Nasma Khamis, sijui Mariam Khamis, nachanganya hayo majina, kaisha R.I.P. Japo sipendelei hizo nyimbo za taarab ila huu huwa unanikumbusha so far...

Cc Kasie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…