Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Nyama ya bata ni tamu, Nyama ya ya bata ni tamuuuuuuu.
Huyu kiumbe niliwahi kula mara moja tu tena sikujua kama ni yeye na alikua mtam ila ajabu kila nikimuangalia naona hapana aiseee sijui kwann kanikalia kushoto.
Huyu kiumbe niliwahi kula mara moja tu tena sikujua kama ni yeye na alikua mtam ila ajabu kila nikimuangalia naona hapana aiseee sijui kwann kanikalia kushoto.