Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
naipenda sasa......π±π±π±π±π±Mbuzi mtamu ila sasa shida kubeua sijui kucheua inarudi harufu yake aaah tabu tupu
Mkuu weWe n msabato?mie hii hapana nguruwe hapana kondoo hapana................ mbavu za mbuzi ndiooo
KWANI HUYU KWAO NI PALE IKULU.
Umepatia kidogo. Ni wa njia panda Veta ukitokea Ilomba kabla haujafika Mama John,pandisha kulia pale juu mlimani kwenye shamba la Mwantande.Yaani mtaa wa Ikulu-Ilemi Mbeya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]KWANI HUYU KWAO NI PALE IKULU.
haya natafuta nauli kupaona mahali hapoUmepatia kidogo. Ni wa njia panda Veta ukitokea Ilomba kabla haujafika Mama John,pandisha kulia pale juu mlimani kwenye shamba la Mwantande.Yaani mtaa wa Ikulu-Ilemi Mbeya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna watu wanakosa vinono...daahmie hii hapana nguruwe hapana kondoo hapana................ mbavu za mbuzi ndiooo
π π π ,Madude matamu sana yakichomwa.
Eti inaongezaga nguvu...
π π π πVya ukweli ukweli nilimaanisha hizi hizi nguvu za "kwenda na kurudi" bila kuchoka..
Maana akichomwa ana style yake ya kukaa kwenye chombo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
π π π π
Anakuwa kama anacheza kidali poo
π π π[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 728412
Numbisa anakuona ujue...
Ukuje pande hii,nauli ya kurudia juu yangu.haya natafuta nauli kupaona mahali hapo
kwako vinaweza kuwa vinono kwangu ni uchafu just imagine nikisikia harufu ya nguruwe naweza kutapika kabisa nacheua na kuumwa kichwa napenda bia lakini baa zenye kuuza kitimoto labda niwe na ulazima wa kuwa hapo vinginevyo nachefukwaKuna watu wanakosa vinono...daah