Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa wiki mbili je maweza kupata maelekezo nikarudi kufanya kaz zangu? na mashine naweza pata?Ndugu wanabodi,tunafundisha utengenezaji Wa masweta,kofia nk.Ada yetu ni tsh 350,000/=(laki tatu na nusu,) na unaweza kulipa kwa awamu mbili.Mda Wa mafunzo ni miezi 2 lakini tunaweza kuongeza mwezi mmoja bure iwapo hujaelewa.Unaruhusiwa kuchagua mda wewe mwenyewe kati ya SAA 2 asubuhi hadi SAA 2 usiku.Tunapatikana Tabata Dsm 0626 869587.
NB:Ikiwa utalipa ada yote kwa mkupuo mmoja(Single installment) utalipia tsh 250,000/= tu.
Abdalah, nimeona simu yako nitakupigia.kwa wiki mbili je maweza kupata maelekezo nikarudi kufanya kaz zangu? na mashine naweza pata?
OkNitumie namba yako ya simu inbox tuwasiliane au nipigie 0626869587