kwa wiki mbili je maweza kupata maelekezo nikarudi kufanya kaz zangu? na mashine naweza pata?Ndugu wanabodi,tunafundisha utengenezaji Wa masweta,kofia nk.Ada yetu ni tsh 350,000/=(laki tatu na nusu,) na unaweza kulipa kwa awamu mbili.Mda Wa mafunzo ni miezi 2 lakini tunaweza kuongeza mwezi mmoja bure iwapo hujaelewa.Unaruhusiwa kuchagua mda wewe mwenyewe kati ya SAA 2 asubuhi hadi SAA 2 usiku.Tunapatikana Tabata Dsm 0626 869587.
NB:Ikiwa utalipa ada yote kwa mkupuo mmoja(Single installment) utalipia tsh 250,000/= tu.
Abdalah, nimeona simu yako nitakupigia.kwa wiki mbili je maweza kupata maelekezo nikarudi kufanya kaz zangu? na mashine naweza pata?
OkNitumie namba yako ya simu inbox tuwasiliane au nipigie 0626869587