Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Kuna demu aliingia on my nerve for the first time nilikasirika kwenye mtandao tho i was cool to her sikuonesha kitu, nikamtuma askari wangu anipelelezee, damn! she is ugly and dump and dirty, fastaa nikamuweka kwenye ignored list,

Ndie mtu wa kwanza na wa mwisho (nadhani) kumuweka kwenye hiyo list sababu sitarajii kama mtu anaweza akaniprovoke like she did.
 
Kuna demu aliingia on my nerve for the first time nilikasirika kwenye mtandao tho i was cool to her sikuonesha kitu, nikamtuma askari wangu anipelelezee, damn! she is ugly and dump and dirty, fastaa nikamuweka kwenye ignored list,

Ndie mtu wa kwanza na wa mwisho (nadhani) kumuweka kwenye hiyo list sababu sitarajii kama mtu anaweza akaniprovoke like she did.
Kwanini?
 
mwanaume kumchukia mwanaume mwenzako huu ni ushoga no offense... wanaume tunapendana sisi ni jeshi moja mtu akikuuzi mfate mwambie mchane makavu kinyongo cha nini

Haya mambo tuwaachie wanawake


Alisikika mlevi mmoja akiongea
Nakukumbusha: sio kila mwenye uume anasifa za kuwa mwanaume wengne walikosewa tu kuumbwa.
 
Back
Top Bottom