Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Unanikera na wewe kujifanya malaika.
Afadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanikera na wewe kujifanya malaika.
Soma kingereza chake utamjua vizuri tu
Mm wanikera toka 2017 hujib pm zangu
Teh ...[emoji28]kuna mmoja "mnamshobokeaga" sana humu..i hate him a lot..!..yaan sijui ni nn..utadhan wanadaiwa nao
Dah ...Hata mm siku hzi nna ignore list[emoji126][emoji126]
Teh ..Bas mie nakupenda!
Kwanini?Kuna demu aliingia on my nerve for the first time nilikasirika kwenye mtandao tho i was cool to her sikuonesha kitu, nikamtuma askari wangu anipelelezee, damn! she is ugly and dump and dirty, fastaa nikamuweka kwenye ignored list,
Ndie mtu wa kwanza na wa mwisho (nadhani) kumuweka kwenye hiyo list sababu sitarajii kama mtu anaweza akaniprovoke like she did.
Mimi nakuchukia kwakweli alafu ata sababu sinamimi napitia comment taratibu tu hapa nione wanaonichukia
Hakuna anaekuchukua wala kukupenda your good for nothing.Ole wake mtu aseme ananichukia [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakukumbusha: sio kila mwenye uume anasifa za kuwa mwanaume wengne walikosewa tu kuumbwa.mwanaume kumchukia mwanaume mwenzako huu ni ushoga no offense... wanaume tunapendana sisi ni jeshi moja mtu akikuuzi mfate mwambie mchane makavu kinyongo cha nini
Haya mambo tuwaachie wanawake
Alisikika mlevi mmoja akiongea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umeona ni huyo mm ni nani hata nikubishie?
hahahaha huebda anajiskia tabu ulivyo na tabia ya kulala lala😂😂Teh ..
Naskia kuna mtu ananchukia sijui kisa nini !
Si ndo lile lichawi lenye mtindio wa ubongo linalokaa mkuranga
Aaah aiseehahahaha huebda anajiskia tabu ulivyo na tabia ya kulala lala[emoji23][emoji23]
Hakuna sababu ya kuchukiana !Hapana..mie siwwz mchukia Mshana hata kidg .!never
Ni kweli kabisa mkuu wanakua hawana tofauti na kina dadaNakukumbusha: sio kila mwenye uume anasifa za kuwa mwanaume wengne walikosewa tu kuumbwa.
Hakuna sababu ya kuchukiana !
Hasa wanaume