Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Eti. LGBTQIA.. Naona kila mwaka mnaongeza herufi na sahivi mnataka kuongeza na wale wanaopenda kufanya mapenzi na watoto(pedophilia)
Kwaiyo itakuwa, LGBTQIAP... Watu kama nyie mnatakiwa mpigwe risasi mfe mapema kabla hamjaeneza ujinga wenu..

Afu unakuja hapa unajisifia kabisa, wala huoni ata aibu...
Unafatilia mnoo binafsi sikua najua kama kuna herufi mpya ila kwa vile member mwenzangu umenipa ufahamu mpya basi ngoja niwaangalie zaidi hao pedophilia.

kumbe wewe upo kwenye P, it make more sense now.
 
Unafatilia mnoo binafsi sikua najua kama kuna herufi mpya ila kwa vile member mwenzangu umenipa ufahamu mpya basi ngoja niwaangalie zaidi hao pedophilia.

kumbe wewe upo kwenye P, it make more sense now.
Yani adi unavo andika, maandishi na unavochanganya maneno umekaa kishoga shoga
 
Eti. LGBTQIA.. Naona kila mwaka mnaongeza herufi na sahivi mnataka kuongeza na wale wanaopenda kufanya mapenzi na watoto(pedophilia)
Kwaiyo itakuwa, LGBTQIAP... Watu kama nyie mnatakiwa mpigwe risasi mfe mapema kabla hamjaeneza ujinga wenu..

Afu unakuja hapa unajisifia kabisa, wala huoni ata aibu...
Mkuu wewe umejuaje wanataka kuongeza au wewe ndiyo THINK TANK WA HICHO KIKUNDI?
 
Hahahahaha

Ahsanteee
Lol, sio ushoga tu nasupport LGBTQIA members wote, halafu wewe utakua hapo kwenye Q ila bado hujajikubali.
Unafatilia mnoo binafsi sikua najua kama kuna herufi mpya ila kwa vile member mwenzangu umenipa ufahamu mpya basi ngoja niwaangalie zaidi hao pedophilia.

kumbe wewe upo kwenye P, it make more sense now.
Shoga humjua Shoga mwenzie siku zote,

Hi, Shoga yangu Panthera.
 
So humu ikitokea tu watu wakipishana mitazamo chuki zinaanzia hapo??..Nadhani watu ambao hampo kwenye msimamo mmoja kuhusu dini/siasa mnaweza kuwa mnafanana mawazo kuhusu mahusiano..
Muda mwingine ni aina ya ukosoaji ndiyo inaweza leta chuki,all in all sioni sababu ya vinyongo,kero n.k...Tusipoelewana wakati wa upandaji tutaelewana wakati wa mavuno.
 
Huo upumbavu wa "kuchukia kivuli" niliufanya huko nyuma, nikajiona bonge la mpuuzi.

Kwa sasa hata siwezi kugombana na mtu, I've so much to do/think, mda wa kuchukia kivuli nitakuwa nimeingiza nyongo isiyo na faida. Jf ni sehemu ya kufurahia, ndio maana hata siasani sitaki kwenda.
 
Back
Top Bottom