Njoo utupongeze!

Asante sana Filipo...me nawatakia kila la kheri
 
Last edited by a moderator:
Laaziz wangu Filipo nakupenda sana, na sijutii kuwa na wewe... Tulishauriana kujiunga JF na leo tumetimiza miaka kadhaa, HATUJUTII maamuzi yetu.... Tumepata marafiki wengi sana wa ki couple na wa kibinafsi (You know what I mean). Changamoto hazikukosekana miaka iliyopita ila nashukuru tumekomaa nazo, na tuna kila sababu ya kujisifu kwamba sisi ni washindi.... Kuna muda mambo ya kifamilia yalitutinga tukashindwa kuingia JF ila napenda kuwahakikishia kwamba bado tupo na tutaendelea kuwepo....
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana mdogo wangu wa ukweli Filipo,

Sasa hii tunaita birthday au nini....babu anaomba msaada..lol!!

Msalimie sana mjukuu wangu marejesho. Mwambie babu anawamiss nyote kwa pamoja (siyo mmoja wenu tu)!!

Mubarikiwa sana,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana mdogo wangu wa ukweli Filipo,

Sasa hii tunaita birthday au nini....babu anaomba msaada..lol!!

Msalimie sana mjukuu wangu marejesho. Mwambie babu anawamiss nyote kwa pamoja (siyo mmoja wenu tu)!!

Mubarikiwa sana,

Babu DC!!

Nashukuru sana Babu DC , Sisi ni wazima tunamshukuru Mungu kwamba familia yetu iko vizuri..... Msalimie sana Bibi
 
Nashukuru sana Babu DC , Sisi ni wazima tunamshukuru Mungu kwamba familia yetu iko vizuri..... Msalimie sana Bibi


Ngoja nisiseme mengi....

Nimewamiss sana na lazima nije soon,

Mkumbushe na Mama wa logistics (@Preta) kufanya maandalizi ya kufidia trip yetu tasa ya Mwanza....



Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…