Njoo uweke caption yako hapa[emoji28]

Jaman ma braza wangu afande mimi hapa nilipo nauma homa ya figo na utumbo naomba minasamehe tu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hawana shida hao wanachukua πŸ“· camera yao unaondoka zako.
 
Wanajeshi: Kwahiyo wewe ndio unajiona Issa Michuzi sio!
Jamaa: Hapana mabroo, mimi ni Lukamba!
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸΎπŸƒπŸΎπŸƒπŸΎπŸš¬πŸš¬πŸš¬
 
Wewe ndie mpiga bodi bosi wetu na hio kamera yako?



Kukuuuu [emoji239][emoji239][emoji239]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…