Njoo uweke caption yako hapa[emoji28]

Njoo uweke caption yako hapa[emoji28]

big dreamer

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
399
Reaction score
1,076
Si tumekataza kupiga picha eneo hili la jeshi
FB_IMG_1656766632737.jpg
 
Jaman ma braza wangu afande mimi hapa nilipo nauma homa ya figo na utumbo naomba minasamehe tu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hawana shida hao wanachukua 📷 camera yao unaondoka zako.
 
Wanajeshi: Kwahiyo wewe ndio unajiona Issa Michuzi sio!
Jamaa: Hapana mabroo, mimi ni Lukamba!
😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🏃🏾🏃🏾🏃🏾🚬🚬🚬
 
Wewe ndie mpiga bodi bosi wetu na hio kamera yako?



Kukuuuu [emoji239][emoji239][emoji239]
 
Back
Top Bottom