Mkuu sisi tuna Kituo cha mafuta yani retail service station, mafuta yetu tunanunua depot yoyote yenye bei nzuri ya soko kwa siku husika. Ni kweli faida mara nyingi haizi 200 ila naomba nikufafanulie kwa faida ya wengine pia.Mafuta mnanua wapi na mna7zia wapi mpaka mpate faida ya 10% kila mwezi? Labda kama mnayatoa Nigeria kwenye zile meli za wizi halafu mkiimport hamlipi kodi. Lakini Tanzania faida ya mafuta nyie kama sio importer haizidi 200/_ unaponuna 2500/_ kwa Lita. Kama wewe ni mkweli changanua tuone mtaji na faida uweke wazi. Ila kwa kuwa watanzania wasivyokuwa makini utawapata . halafu ukishapata mtaji utakuwa umewapa mtaji wao ndani ya miezi 10 halafu kampuni hewa itasambaa, na hapo utakuwa mjungwana sana, vinginevyo hiyo ni deck iliyoboreshwa wtu waibiwe nakampuni iyeyuke .sasa kama mafuta yana faida kubwa hivo he yule Kijana Forbes inamtambuakuwa ni mtanzania Kijana mwenye bilioni 30 so kia mwaka utajitiri ungekuwa maradufu kila mwaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu biashara imeanza lini ? na kama batch ya kwanza inafungwa 30 April je mwekezaji atapata 10% ya kwanza tarehe ngap? je baada ya miez mitatu mwekezaji akiamua kuingia mkataba kwa mara nyingine interest itakuwa ile ile 10% au itapungua?UWEKEZAJI KATIKA BIASHARA YA MAFUTA
Nimeona niwaletee fursa niliyonayo ambayo inahusiana na uwekezaji kwenye biashara na kuweza kujiongezea kipato nje ya mshahara au kazi yako unayofanya, fursa hii inawahusu watu wote ila nimeona ni vyema nanyi niwashirikishe kuliko kuwafaidisha wengine tu nikawasahau ndugu zangu, sasa twende pamoja kuijua fursa hii!
Tuna kampuni inayojihusisha na biashara ya mafuta na gas ambapo tumeona ni vyema kuwashirikisha wadau katika uwekezaji wa biashara hii ya mafuta.
Tunakaribisha watu mbalimbali kuwekeza kwenye mradi wetu wa mafuta kiasi ambapo mwekezaji atakua anapata Gawio la 10% kila mwezi kutokana na uwekezaji wake na baada ya muda wa mkataba tuliokubaliana kumalizika mhusika anaweza kuamua kuhuisha mkataba wake ama akachukua hela yake aliyowekeza. Namna ya kuwekeza ni kama ifuatavyo ;
1. uwekezaji huu unafanyika kisheria kwa kufuata taratibu zote za uwekezaji katika miradi za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya usimamizi wa mwanasheria wa kampuni!
2. Mwekezaji atalipwa gawio la 10% ya Gharama ya uwekezaji wake kila mwezi bila kuathiri pesa yake aliyowekeza.
3. Mwekezaji hatahusishwa na hasara yoyote itakayojitokeza ktk uendeshaji.
4. Mwekezaji hatohusishwa na Gharama yoyote ya uendeshaji.
5. Kiwango cha chini cha uwekezaji ni 100,000 na Kiwango cha juu ni 2,000,000 kwa mtu binafsi. Kwa taasisi au kampuni kima cha chini cha uwekezaji ni 500,000 na kima cha juu ni 10,000,000 kwa taasisi au kampuni moja.
6. Mkataba wa uwekezaji kwa mtu binafsi utahuishwa kila baada ya miezi 3 ( hivyo kila baada ya miezi 3 utaamua kuendelea kuwekeza au kuondoa pesa yako kwenye uwekezaji). Kwa taasisi au kampuni muda wa kuhuisha mkataba ni kila baada ya miezi 6.
7. Gawio litatolewa tar 1 ya kila mwezi kupitia account ya kampuni ( hapa pesa hutumwa kwa mhusika automatically kwa kutumia system ya bank inayotumiwa na kampuni yetu).
8. Mwekezaji anaruhusiwa kukagua mradi wetu wa mafuta na documents zote za usajiri kisheria ili kujiridhisha kabla hajaamua kuniunga na mradi.
9. Mwekezaji anaruhusiwa kuwa na mwanasheria wake au shahidi wakati wa kufanya makubaliano ya mkataba.
Sifa za Mwekezaji ni kama ifuatavyo ;
1. Anatakiwa kuwa mtanzania wa kuzaliwa au kuandikisha (akiwa sio mtanzania anapaswa kuwa na kibali cha kuishi nchini na kibali cha kufanya kazi nchini)
2. Anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 18.
3. Awe na akili timamu.
4. Jinsi zote.
5. Awe na kitambulisho cha Taifa, cha mpiga kura au leseni ya udereva. Picha moja passport size.
6. Shilingi elfu 2 ya kulipia form.
7. Pesa ya uwekezaji isiyopungua 100,000 kwa mtu binafsi na 500,000 kwa taasisi.
NB : Kwa aliyekidhi vigezo tajwa hapo anazo sifa za kuwa mwekezaji wetu, tunahitaji wawekezaji 100 kwa awamu ya kwanza.
Dirisha la usajiri kwa awamu ya kwanza litafungwa tarehe 30 April 2019.
Tunapenda kuwakaribisha nyote katika uwekezaji huu wa kibiashara, kwa watakaowiwa kuwekeza wawasiliane nami kwa maelezo zaidi kupitia ;
0764 143 900
0715 143 900
hemedrenatus@yahoo.com
hgecompany@gmail.com
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu biashara ilianza rasmi mwaka Jana (2018) mwezi February.mkuu biashara imeanza lini ? na kama batch ya kwanza inafungwa 30 April je mwekezaji atapata 10% ya kwanza tarehe ngap? je baada ya miez mitatu mwekezaji akiamua kuingia mkataba kwa mara nyingine interest itakuwa ile ile 10% au itapungua?
maswali mengi ila anza na hayo kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hapana mkuu sisi sio sawa na desi, sisi tunafanya biashara na wewe unalipwa kutoka zao la biashara ambayo ni faida tunayopatambona sawa na ile DESI japo nyie mmekuja na njia ya uwekezaji
Mkuu kumbuka hii fursa nimeamua kuwashirikisha watz wenzangu ili angalau mtu pesa yake ikazalishe sio aitunze tu bank au nyumbani.Sasa katikz tanker ya Milioni 200 faida yakr ni kiasi gani mkuu hapo ndio unatufumba.
Halafu sijaonatanzania mkweli anaebembeleza mtaji kwa walala hoi , wewe ni Wa kwanza . mabenki yana hela haina wateja Wa kukopesha kwa sababu biashara haipo sasa hivi wewe andika mhanganuo watakukopsha acha kudanganya bishara kwa walala hoi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huo ni msemo tu, ingekua ni uhalisia basi watu wasingekua wanatoa matangazo ya kazi. Karibu tufanye biashara mkuuUkisikia mtu anakwitia fursa ujue wewe ndio fursa
mpuuzi mpuuzi tu
Huu utakuwa""MDUNDO SI kipigo Tena hiki mkuuKuna watu wanaenda pigwa hapa
Mafuta faida yake ni 200 hadi 500 kwa lita
Kwa mtaji wenu nyie mtanunua kwa hawa wakubwa maana yake faida imepungua tena sio 500
Hao watu 100 wakijichanga kwa 2mil kila mmoja ni 200mil ambayo mtafanikiwa nunua tanker 2 kwa mkupuo
Faida huwez pata ya kuwagawia wote 10pc ya uwekezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni yenu imesajiriwa?Ni wasiwasi wako tu mkuu, Kumbuka tunafanya kazi kisheria, karibu ofisini tufanye biashara mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Morogoro ofisi ziko wapi?UWEKEZAJI KATIKA BIASHARA YA MAFUTA
Nimeona niwaletee fursa niliyonayo ambayo inahusiana na uwekezaji kwenye biashara na kuweza kujiongezea kipato nje ya mshahara au kazi yako unayofanya, fursa hii inawahusu watu wote ila nimeona ni vyema nanyi niwashirikishe kuliko kuwafaidisha wengine tu nikawasahau ndugu zangu, sasa twende pamoja kuijua fursa hii!
Tuna kampuni inayojihusisha na biashara ya mafuta na gas ambapo tumeona ni vyema kuwashirikisha wadau katika uwekezaji wa biashara hii ya mafuta.
Tunakaribisha watu mbalimbali kuwekeza kwenye mradi wetu wa mafuta kiasi ambapo mwekezaji atakua anapata Gawio la 10% kila mwezi kutokana na uwekezaji wake na baada ya muda wa mkataba tuliokubaliana kumalizika mhusika anaweza kuamua kuhuisha mkataba wake ama akachukua hela yake aliyowekeza. Namna ya kuwekeza ni kama ifuatavyo ;
1. uwekezaji huu unafanyika kisheria kwa kufuata taratibu zote za uwekezaji katika miradi za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya usimamizi wa mwanasheria wa kampuni!
2. Mwekezaji atalipwa gawio la 10% ya Gharama ya uwekezaji wake kila mwezi bila kuathiri pesa yake aliyowekeza.
3. Mwekezaji hatahusishwa na hasara yoyote itakayojitokeza ktk uendeshaji.
4. Mwekezaji hatohusishwa na Gharama yoyote ya uendeshaji.
5. Kiwango cha chini cha uwekezaji ni 100,000 na Kiwango cha juu ni 2,000,000 kwa mtu binafsi. Kwa taasisi au kampuni kima cha chini cha uwekezaji ni 500,000 na kima cha juu ni 10,000,000 kwa taasisi au kampuni moja.
6. Mkataba wa uwekezaji kwa mtu binafsi utahuishwa kila baada ya miezi 3 ( hivyo kila baada ya miezi 3 utaamua kuendelea kuwekeza au kuondoa pesa yako kwenye uwekezaji). Kwa taasisi au kampuni muda wa kuhuisha mkataba ni kila baada ya miezi 6.
7. Gawio litatolewa tar 1 ya kila mwezi kupitia account ya kampuni ( hapa pesa hutumwa kwa mhusika automatically kwa kutumia system ya bank inayotumiwa na kampuni yetu).
8. Mwekezaji anaruhusiwa kukagua mradi wetu wa mafuta na documents zote za usajiri kisheria ili kujiridhisha kabla hajaamua kuniunga na mradi.
9. Mwekezaji anaruhusiwa kuwa na mwanasheria wake au shahidi wakati wa kufanya makubaliano ya mkataba.
Sifa za Mwekezaji ni kama ifuatavyo ;
1. Anatakiwa kuwa mtanzania wa kuzaliwa au kuandikisha (akiwa sio mtanzania anapaswa kuwa na kibali cha kuishi nchini na kibali cha kufanya kazi nchini)
2. Anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 18.
3. Awe na akili timamu.
4. Jinsi zote.
5. Awe na kitambulisho cha Taifa, cha mpiga kura au leseni ya udereva. Picha moja passport size.
6. Shilingi elfu 2 ya kulipia form.
7. Pesa ya uwekezaji isiyopungua 100,000 kwa mtu binafsi na 500,000 kwa taasisi.
NB : Kwa aliyekidhi vigezo tajwa hapo anazo sifa za kuwa mwekezaji wetu, tunahitaji wawekezaji 100 kwa awamu ya kwanza.
Dirisha la usajiri kwa awamu ya kwanza litafungwa tarehe 30 April 2019.
Tunapenda kuwakaribisha nyote katika uwekezaji huu wa kibiashara, kwa watakaowiwa kuwekeza wawasiliane nami kwa maelezo zaidi kupitia ;
0764 143 900
0715 143 900
hemedrenatus@yahoo.com
hgecompany@gmail.com
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwekezaji umekatiwa bima?Ni wasiwasi wako tu mkuu, Kumbuka tunafanya kazi kisheria, karibu ofisini tufanye biashara mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app