Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Mnafatilia nn mtu kashakufa? Mkipata hyo hela mnaifanyia nn? Kaacha watoto? Au mnataka kujengea kaburi lake?Mkuu umenikumbusha jambo la muhimu mno, last week tumezika bint yetu ambaye alipata ajali maeneo ya nanenane dom, lakini hatukufikria chochote kutokana na mstuko wa ule msiba, ngoja tuanze kufuatilia tuone.
Aisee shirima? in (chaggas voice) huyu kaacha watoto, wazazi, wategemezi wengine pamoja na madeni, vipi tuacheeee?, hata hivyo hata kama hayo yote hayapo tambua hili jambo lipo kisheria, kama sheria inatupa hiyo nafasi ni lazima tuitumie, huyu ni ndugu yetu wala hakuna ubaya kula pesa itokanayo na kifo chake.Mnafatilia nn mtu kashakufa? Mkipata hyo hela mnaifanyia nn? Kaacha watoto? Au mnataka kujengea kaburi lake?
Kama hajaacha watoto au waliokua wanamtegemea achana na kesi mkuu.!
Sawa kaka nimekuelewa Sana ndugu Yangu ..!Aisee shirima? in (chaggas voice) huyu kaacha watoto, wazazi, wategemezi wengine pamoja na madeni, vipi tuacheeee?, hata hivyo hata kama hayo yote hayapo tambua hili jambo lipo kisheria, kama sheria inatupa hiyo nafasi ni lazima tuitumie, huyu ni ndugu yetu wala hakuna ubaya kula pesa itokanayo na kifo chake.
Shirima kufaaa..........kufaaana meku.
Ajali ya bus mbili ziligongana mim nilikuwa abilia , nilikuwa naenda dodoma kwenye mambo binafsi .Pole sana mkuu, sijui sijasoma vizuri au nimepitiwa lakini sijaona ulipata ajali ya aina gani, ulikua unaendesha pikipiki, ulipakiwa, ulikua kwenye basi, gari binafsi au umeumia katika mazingira gani? Ni kazini au kwenye mambo binafsi?
Bima unayoiongelea hapa ni ya chombo ulichopanda au ya kazini? Ukitoa hizo taarifa, zinnaweza kusaidia kupata msaada wa maelekezo vizuri. Ahsante
That's what I also experienced with wcfKuna urasimu wa kutisha unapofuatilia fidia. Hata ukiwa na vielelezo vyote. Sijui wanafanya maksudi kukukatisha tamaa utemane nayo. Ni psychological torture ya hatarii
Pumbafuvu sana wewe kama huna lolote la kunena kwanini usiishie kusoma walicho kiandika wenzio kuliko kujinyeaPole Sana mkuu
ajari, ajar, tuliowahiwa
Hivi unafahamu lugha kwa ufasaha?
Kama basi halina bina je?Hifadhi risiti za matibabu na gharama nyingine zote bila kusahau tiketi uliyokata siku ajali ilipotokea. Hakikisha vyote vina majina yako halisi.
Nenda kaidai kampuni ya Bima ya bus ulilopata nalo ajali. Watakulipa.
Ukitaka kujua nchii ilivio mbaya pata kesi au ugua ukose heleAhsante kwa elimu, lakini inakuwaje mfano nikigongwa na gari au ndugu yangu kagongwa na gari na akafa taratibu zimakuwaje?