Kiokotee
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,675
- 2,211
Kuna makundi ya Watu tunasakamwa sana huku kitaa mpaka tunakosa raha hapa Duniani yaani hatuna raha kabisa cha Ajabu kinachotugharimu ni Jinsi ambavyo tumeumbwa au Mungu mwenyewe ndio ameamua iwe hivyo yaani hatuna jinsi ya kusolve Masimango haya labda Mungu mwenyewe apende.
Utasikia mara oooooh! Sijui;
Ana Kibamia. Ndoa hii mwaka wangapi Haijajibu n.k....
Kwenye huu tuache Utumwa wa Fikra njooni hapa tufarijiane na tukubaliane na hali
Ahsanteni.
Utasikia mara oooooh! Sijui;
Ana Kibamia. Ndoa hii mwaka wangapi Haijajibu n.k....
Kwenye huu tuache Utumwa wa Fikra njooni hapa tufarijiane na tukubaliane na hali
Ahsanteni.