Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilienda last week
Hekari moja laki 8
Kiwanja laki 3
Huko kijiji cha zumba
Pale town kwao kiwanja kuanzia 3M na nusu na kuendelea
Range rover, Nimekupenda bure acha nimshauri mke wangu
Tafuta mwenyeji mkuu, mimi nilifunga safari kwenda kutembea na kutafuta fursa, nika mwambia bodaboda anipeleke kwa mwenyeji...nje ya mji kijiji kinaitwa zumba.Mkuu usalama wa viwanja na mashamba ukoje huko?
Heka zipo zina patikana, la msingi tafuta mwenyeji usije uziwa sehemu mara mbili.walioenda tupeni mrejesho na mimi nataka nikanunue japo heka moja
Nilienda kukagua, nika mwambia mwenyeji pale ikitokea mtu anauza shamba kwa shida anishtue...tulibadilishana namba.ulipata eneo au ulienda kukagua mazingira kwanza
asante mkuu naomba ikitokea na mimi nijulishe, plz naomba namba zako PMNilienda kukagua, nika mwambia mwenyeji pale ikitokea mtu anauza shamba kwa shida anishtue...tulibadilishana namba.
Sawa. Vipi bado mashamba.yapo?Wadau hamjambo?
Nimehamia huku panaitwa Zumba mabanzini mkoa wa Pwani, kwa ufupi unapo toka Dar panda magari pale Mbezi yanayokwenda Boko Mnemela ukifika Boko Mnemela kodi boda boda elfu 6 mpaka huku Mabanzini.
LIFE YA HUKU
Huku wamang'ati bado wapo wamezuia maeneo, yaani nilichofanya nimemuhamisha mmang'ati kwa laki 8 eneo la heka 9
Bado bushi sema kanisa katoliki wamekuja juzi nao wanajenga hostel za masister na ndio wanafanya harakati za kuweka umeme.
Life ya huku ni ya ki nzuri maeneo mengi ni msitu na serikali imeweka bango ukisafusha eneo ndio lako nyumba ni chache ila vibanda vya wamang'ati na mashamba ya mahindi tu ndio mengi.
Yaani kwamimi niliekulia tarangire hapa nnahisi kama nipo home aisee ni kuzuri tambarare yake usipime huku watu wengi wafugaji, kuku, nguruwe, mbuzi, kilimo cha karanga, matikiti, mahindi, pilipili mwendo kasi, maziwa ya ng'ombe kwa wingi naona watu hawaja pastukia this gift land.
Karibuni sana
Mabanzini, Zumba
Serikalo??. Vipi huko bado mashamba ni ya kujichagulia tuYaani niko hapa vegetables nakuja na vijana kusafisha eneo langu...sasa hao serikalo waje waseme ni eneo lao