Njooni huku tusherehekee

Njooni huku tusherehekee

sbikore

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
535
Reaction score
191
Wana JF wenzangu, leo ni siku muhimu sana kwa wote tuliojaliwa kuiona.

Na jambo la heri kwa ndugu jamaa na marafiki kukaribishana na kusheherekea pamoja.

JF members ni watu wa familia moja. Je, wewe umemkaribisha mwenzio?

Karibuni nyote kwangu, Serengeti Mara, tusherekee pamoja. Nimeandaa chakula na vinywaji vya kutosha kabisa, hakuna atakayepungukiwa.

Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom