Mwaka 2024 NASA wana mpango wa kupeleka raia mwezini. Kuwa standby kujifunza.
OkayHawana huo ubavu ni propaganda tu!
Dunia ndiyo yetu,hakuna mahala pengine tunapoweza kuishi zaidi ya hapa duniani,trust me.
Sayansi siyo ya shetani bali shetani aniaitumia kwa manufaa yakeMuda sasa wa kuachana na sayansi za kishetan na uongo mtupu, tumia macho yako kupima hivyo ulivyofundishwa darasan kama vinaleta mantiki.
Bro, washafanya hivyo kabla hata ya internet, umezaliwa jana au?Hawana huo ubavu ni propaganda tu!
Dunia ndiyo yetu,hakuna mahala pengine tunapoweza kuishi zaidi ya hapa duniani,trust me.
Hii bado inanichanganya,as long as mwezi unarotate bas lazima tuone both sides1. Yah, mwezi unazunguka Dunia na kujizungusha kwenye muhimili wake
2. Mwezi unatumia siku takribani 27 kukamilisha mzunguko mmoja kuizunguka dunia, na vilevile unatumia mda huo huo kukamilisha mzunguko mmoja kwenye muhimili wake, Hii dhana inayojulikana kama Tidal Locking ndio inayofanya tuone upande mmoja tu wa mwezi
3. Mwezi unazuguka pia kwenye muhimili wake.
Ndio mafunzo ya kanisani kwenu au msikitini kwenu?Muda sasa wa kuachana na sayansi za kishetan na uongo mtupu, tumia macho yako kupima hivyo ulivyofundishwa darasan kama vinaleta mantiki.
Dunia haizunguki na haijawai kuzunguka na haitowai kuzunguka maana jua ndilo huizunguka dunia, the same way kwa mwez unaizunguka dunia.
Mengine pima kwa akili yako utajua ukwel
Maswali haya hayakua na haja ya kufunguliwa uzi, dakika chache za kuzurura Google kungekupa majibuHii bado inanichanganya,as long as mwezi unarotate bas lazima tuone both sides
Duh! Bange hizi jamani. Kuweni makini.Muda sasa wa kuachana na sayansi za kishetan na uongo mtupu, tumia macho yako kupima hivyo ulivyofundishwa darasan kama vinaleta mantiki.
Dunia haizunguki na haijawai kuzunguka na haitowai kuzunguka maana jua ndilo huizunguka dunia, the same way kwa mwez unaizunguka dunia.
Mengine pima kwa akili yako utajua ukwel
Kumbe !1. Yah, mwezi unazunguka Dunia na kujizungusha kwenye muhimili wake
2. Mwezi unatumia siku takribani 27 kukamilisha mzunguko mmoja kuizunguka dunia, na vilevile unatumia mda huo huo kukamilisha mzunguko mmoja kwenye muhimili wake, Hii dhana inayojulikana kama Tidal Locking ndio inayofanya tuone upande mmoja tu wa mwezi
3. Mwezi unazuguka pia kwenye muhimili wake.
Nisawasawa na kusema miguu huwa haitembei bali viatu ndo hutembea, hivyo unafaa sana kwenye jamvi mkuuMuda sasa wa kuachana na sayansi za kishetan na uongo mtupu, tumia macho yako kupima hivyo ulivyofundishwa darasan kama vinaleta mantiki.
Dunia haizunguki na haijawai kuzunguka na haitowai kuzunguka maana jua ndilo huizunguka dunia, the same way kwa mwez unaizunguka dunia.
Mengine pima kwa akili yako utajua ukwel
Hatuoni upande mmoja tu! Wewe chunguza utaona sura ya mwezi inabadilikabadilika Kila wakati. Maana yake ile sehemu uliyoona Leo haitakuwa ileile siku kadhaa zijazo.Hii bado inanichanganya,as long as mwezi unarotate bas lazima tuone both sides
Mfano nikiwa SA na mwingine Canada muonekano wa mwezi utakua mmoja au mmoja ataona mbele mwingine nyuma.Maswali haya hayakua na haja ya kufunguliwa uzi, dakika chache za kuzurura Google kungekupa majibu
Soma kuhusu Tidal Locking, mwezi una rotate kwa kasi ile ile inayotumia kuzunguka dunia thus why unaona uso mmoja tu wa mwezi