Nilijaribu kwenye kilimo,ila sikufanikiwa,maana nilikua namtumia mtu anisaidie kusimamia,pamoja na kwamba mwaka huu mavuno yalikua hafifu,ila nikagundua kuwa msimamizi alichangia kwa kiasi kikubwa,nilichoplan ni kwamba nature ya kazi yangu hainibani saaana,ntakachoamua kufanya ni kuhakikisha naenda mara kwa mara site,kuanzia hatua za awali....usimamizi wa karibu ni muhimu sana