mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Kwa utafiti wangu usio rasmi. Changamoto ya wafanyakazi wengi ni kusuasua kwa miradi na kutokuleta tija kama ilivyopambanuliwa katika Businessplan kutokana na ugumu wa ufuatiliaji.
Lakin pia nimeona watu wengi wamefanikiwa sana katika hili na miradfi yao iko vizuri na pia Kazini wako full time japo sijajua ni mbinu gani wanatumia.
Changamoto hizi zipo katika kufungua maduka ya mbali, Biashara, ila napenda tujikite katika kilimo zaidi.
Kuna mtu anasema ni bora kujenga nyimba kuliko kuwekeza katika miradi ya namna hiyo.
Great thinkers naomba tupeane uzoefu, changamoto na ushauli. Kwenye wengi hakukosekani neno.
Lakin pia nimeona watu wengi wamefanikiwa sana katika hili na miradfi yao iko vizuri na pia Kazini wako full time japo sijajua ni mbinu gani wanatumia.
Changamoto hizi zipo katika kufungua maduka ya mbali, Biashara, ila napenda tujikite katika kilimo zaidi.
Kuna mtu anasema ni bora kujenga nyimba kuliko kuwekeza katika miradi ya namna hiyo.
Great thinkers naomba tupeane uzoefu, changamoto na ushauli. Kwenye wengi hakukosekani neno.