mi ni mwl wa sayansi phy na math.kitu kinachonishangaza serikali .mwl wa sc ana vipind 30 art 6.means ni mara 5.afu kwenye mshahara mnapata sawa..sasa najiuliza hiyo ni haki kwel na serikali haioni hilo...ndo maana waimu wa sc wanakimbilia fan zingine wanapoenda kujiendeleza..wadao eb funguken....
mi ni mwl wa sayansi phy na math.kitu kinachonishangaza serikali .mwl wa sc ana vipind 30 art 6.means ni mara 5.afu kwenye mshahara mnapata sawa..sasa najiuliza hiyo ni haki kwel na serikali haioni hilo...ndo maana waimu wa sc wanakimbilia fan zingine wanapoenda kujiendeleza..wadao eb funguken....
mi ni mwl wa sayansi phy na math.kitu kinachonishangaza serikali .mwl wa sc ana vipind 30 art 6.means ni mara 5.afu kwenye mshahara mnapata sawa..sasa najiuliza hiyo ni haki kwel na serikali haioni hilo...ndo maana waimu wa sc wanakimbilia fan zingine wanapoenda kujiendeleza..wadao eb funguken....
Vipingi 30 kwa mwaka? Au kwa wiki? Hata hivyo ni uongo, unajua english peke yake ina vipindi sita sawa na hesabu, masomo mengine yote yana vipindi vitatu kwa wiki, wew physics ya wapi unasema?
Acha uzembe chapa kazi kama hutaki acha kazi.
Walimu wanaongoza kuichagua ccm pamoja na shida zote hizi, na mfe tu.
Ina maana unataka walimu wa arts wafundishe science ili muwe sawa? Pamoja na kwamba kuna idadi ya vipindi ambavyo haitakiwi izidi kwa walimu wa arts na science, kinachowaumiza walm. wa science ni uchache wao na kujikuta wanafundisha madarasa mengi.