mi ni mwl wa sayansi phy na math.kitu kinachonishangaza serikali .mwl wa sc ana vipind 30 art 6.means ni mara 5.afu kwenye mshahara mnapata sawa..sasa najiuliza hiyo ni haki kwel na serikali haioni hilo...ndo maana waimu wa sc wanakimbilia fan zingine wanapoenda kujiendeleza..wadao eb funguken....