HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 387
- 396
😂😂😂 Jf bana!!Badala ya kutoa maoni kwenye mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha na kizazi cha sasa na baadae unatoa maoni kweny mambo yasiyo na msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Jf bana!!Badala ya kutoa maoni kwenye mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha na kizazi cha sasa na baadae unatoa maoni kweny mambo yasiyo na msingi
Asante tu kwa kunichekesha mimi [emoji1][emoji1]Kwa mfano ulikuwa unamkimbiza mwizi aliyekuibia pochi yenye laki tano na simu ya thamani ya laki tatu, mara kichochoroni ukamuona mpenzi wako na mtu mwingine wamekumbatia na wanapigana mabusu.
Je? Ungendelea kumkimbiza mwizi au ungemfuata mpenzi wako??????????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wallh nimecheka mok machozi jmnNitachukulia Hilo tukio la fumanizi kama wazamini tu wa kipindi cha kumkimbiza mwizi.. siachi hela wewe tena nikiwaona ndo naongeza spidi na kelele.
[emoji1][emoji1]Si ndo hapo mambo yasio ya maan lakn kapata muda wa kusoma na kuandika kitu jmn aoni kama na yeye kapoteza muda au ilo hajalionaBadala ya kutoa maoni kwenye mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha na kizazi cha sasa na baadae unatoa maoni kweny mambo yasiyo na msingi
Pole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wallh nimecheka mok machozi jmn
Ujue nimecheka hapa mpk watu wamenishangaaPole
Your welcome..Ujue nimecheka hapa mpk watu wamenishangaa
Ndo wqlimwengu hao mama[emoji1][emoji1]Si ndo hapo mambo yasio ya maan lakn kapata muda wa kusoma na kuandika kitu jmn aoni kama na yeye kapoteza muda au ilo hajaliona