sir kiduku
Member
- Oct 12, 2019
- 86
- 213
GT??? umeniacha hapoKaribu sana JF mjukuu wetu kwa GT.
great thinkerGT??? umeniacha hapo
cna Id ya zaman lakn nlkuwa nasoma thread zao kupitia operaminiI
ID yako ya zamani ni ipi
Hii "njuka" ina maana gani?cna Id ya zaman lakn nlkuwa nasoma thread zao kupitia operamini
mtu mgen.....ila n msemo unaotumika xn mashulen na vyuonHii "njuka" ina maana gani?
nmeshayavua kitambovua kwanza hayo malapa mlangoni ndio uingie