sir kiduku
Member
- Oct 12, 2019
- 86
- 213
Hi mm n mgen humu.......lakn kuna watu nliokuwa nkfuatlia thread zao kama....Mlevi mmoja,,Zero IQ,,Father of all sniper,,Mother confesser,,Goite,,Sir khan,,Kiduku Lilo na wengne wote naomba ushrikiano wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GT??? umeniacha hapoKaribu sana JF mjukuu wetu kwa GT.
great thinkerGT??? umeniacha hapo
cna Id ya zaman lakn nlkuwa nasoma thread zao kupitia operaminiI
ID yako ya zamani ni ipi
Hii "njuka" ina maana gani?cna Id ya zaman lakn nlkuwa nasoma thread zao kupitia operamini
mtu mgen.....ila n msemo unaotumika xn mashulen na vyuonHii "njuka" ina maana gani?
nmeshayavua kitambovua kwanza hayo malapa mlangoni ndio uingie