Nkasi, Rukwa: Takribani Risasi 1500 zakamatwa baada ya wavuvi kuzivua Ziwa Tanganika

Hakuzikamata yeye ila alikabidhiwa na wavuvi waliozivua ziwani.
 
Ndani ya Chadema wako kibao wazalendo ukipanga chochote kibaya wana ripoti serikalini

Ndio maana ya Chama tawala kinatawala vyama Vyote na kina watu huko

Panga chochote kibaya uone mziki wake utaamkia shikamoo serikali
Acha mzaha. CHADEMA mliishainyonga zamani. Haina hata mbunge wa maana wala haifanyi shughuli yoyote ya maana mitaani. Mwenyekiti wake mnasubiri kumnyonga. Hamza, kada wa CCM, ndiye aliyeua polisi wenu. Mziki wake mnaujua. Wao ndio walimwamkia shikamoo - mwanachama mwenzao. Mziki wa serikali ya JMT ni mbele ya raia wasio na silaha tu. Mbele ya magaidi wa ukweli ni mchecheto tu. Uliza habari za Mtwara.

Hofu kwa CHADEMA ya nini?; Mbowe gaidi? What a shame! Real embarrassment! Mnamkamata mtu kitandani usiku wa manane halafu mnajinasibu kumkamata gaidi? Mtu ambaye majuzi Rais wenu alimtumia salamu za rambirambi? Au mnaogopa wananchi?

Ongeeni na Lipumba na Zitto na timu za kimafia ndani ya CCM. Labda mtapata amani ya roho huko.

Amin nakuambia, siku CHADEMA ikitoweka ndipo utakapoielewa kauli ya Mwalimu JKN kuhusu watu waliozoea kula nyama ya binadamu. Inasikitisha kuona civility imepotea kabisa nchini; umebakia ushenzi tu. Polisi na CCM wanajinasibu kuvunja miguu raia wasio na silaha! Huo ndio mziki wao. Eti andamaneni tuwaone kama hamjawa vilema! Binti anatunguliwa risasi ndani ya dala dala, halafu washenzi wanakuja JF kuwasifu polisi kwa ukakamavu!?
 
Ndani ya Chadema wako kibao wazalendo ukipanga chochote kibaya wana ripoti serikalini

Ndio maana ya Chama tawala kinatawala vyama Vyote na kina watu huko

Panga chochote kibaya uone mziki wake utaamkia shikamoo serikali

Hamza unamjua?
 
Why unamweka chini ya ulinzi mtu aliyeokota kitu? Ndo maana watu huwa hawataki kuripoti matukio mbalimbali polisi kuepuka kuwekwa ndani
 
Mikoa hiyo si Jambo geni isitoshe hapo Ni karibu na ziwa Tanganyika..mzigo umetoka Congo au Burundi..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Thanks means ni ukanda uanahohitaji ulinzi/surveillance madhubuti maana ni hatari sana kwa usalama wa raia iwapo zingeangukia kwa maharamia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…