Nkonkoni na Makambo hawana tofauti

Nkonkoni na Makambo hawana tofauti

Kutokana na viungo wa yanga pamoja na mawinga wao basi sina Shaka kusema hifiz nkonkoni ata shine saana yanga

Mayele Alikuwa mshambuliaji bora lakini alikuwa na mapungufu kwenye finishing
Ilikuwa rahisi kwa mayele kufunga goli ngumu kuliko kufunga goli rahisi

Mayele hakuwa mzuri kwa vichwa

Ila huyu nkonkoni na finisher mzuri saana na pia ni mzuri kwa mipira ya juu

Namuona akifanya vizuri Kama alivyo fanya makambo 2018-2019

Mda utaongea
konkon ulimuona wapi wese akicheza?
 
Back
Top Bottom