Nliamua kunywa sumu nikaokolewa kiajabu sana

🤣🤣🤣🤣🤣
Ukipata wazo la kukata tamaa ingia jf tafuta uzi wa bill lugano mr.Mdollerseen hakika utasonga mbele kwa nguvu zote!
 
Nakumbuka siku hiyo nikiwa na miaka kama 12 hivi tukiwa Marekani mimi na familia yangu. Siku ilianza tu vibaya nikawa nimeamshwa na dada wa kazi saa 12:45 badala ya saa 1:00 (saa moja kamili) kweli nlikasirika sana. Sema tu yule dada wa
Andika kiingereza
 
Totomayai mayai watu tunachanganya asali matango kisha tunashushia panadol zilizowekwa kwenye mo extra na hatufi wewe umetengeneza kajuice ka maziwa na asali unaona nyota
 
Kiduku Lilo Bill Lugano the Big Boss, tajiri mtoto wa mjini anaekula mkate mzima bila blue band.

Ila siku hizi Bill Lugano sio kama Kisuku Lilo, alipokua anajiita Kiduku alikua na vituko zaidi.
Ninacho mkubali kwenye utajiri wote anaotueleza kajipa character ya mtoto wa boss, pesa siyo zake.
 
kuamshwa na dada wa kazi huko US?

Chai imezidi chumvi
 
Nimependa hiyo mdoller seen😀😀
 
We jamaa naona umeamua kutuburudisha😂😂😂😂😂mkuu achana na cassava kuna ndizi za kuchoma em wazia banana choma.
 
ULITAKIWA UWE SEGEREA MDA HUUUU NAWAZA ALIEKUHURUMIA UKSW HURU UNAANDIKA HAYA ALIDZALIWA BETHLEHEM??
 
mzee @bujibujisimbanyamaume umeshaona don @kidukulilo @billlugano alipokuwa na miaka 12?
 
Hebu ngoja nijaribu hiyo Mdollerseen, Asali na Maziwq usijekuta ni Code aya Reproduction Potency
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…