Nlipoona tu Referee ni Arajiga nikasema hapa hatutoboi leo

Tulia kijana. Kosa moja halihalalishi Kosa jingine. Baka alifanya kosa la wazi na akaadhibiwa, finished. Hizo nyingine ni mbwembwe tu. Ukiongelea ya Hamza ongelea pia na penalties mbili za Kibu. Hapo utakuwa umetenda haki.
 
Pengo la Kayoko limewachanganya sana mnajiropokea tu kama mumekunywa maji ya chooni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…