NMB Bank acheni ubabaishaji

Joined
Jul 15, 2018
Posts
96
Reaction score
50
Wanajamvi niliomba uwakala wa NMB Wakanipa masharti ya nikatimiza yote wakaniambia niko tayari nimeruhusiwa niliweka kias cha mil 2 laki 2 ili wanipe mashine.

Nina wikp ya pili sasa sijapata mashine kama kuna mwenye uelewa au mtu ambaye alishawahi kujiunga NMB anipe uzoefu alipewa mashine baada ya mda gani?Manake mie naona J3 nikatoe pesa yangu.
 
Kawasemee kwa ngosha Mwenzio.
Hilo jina acha tu iwe siri yangu
 
Mfuate meneja wa tawi husika..

Ulivyoomba kwani ulikujabkutuaga huku??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana ndugu Mashi,
Tafadhali tunaomba taarifa zako PM kwa ufuatiliaji zaidi na kukupatia mrejesho.
Asante
 
NMB badilikeni jamani. Tunawapenda sana ila mnatuumiza sana pale tu tunapopata huduma chini ya kiwango
 
Kimsingi NMB hawana mashine kwa kipindi kirefu sasa....mi nilishachukua hela yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…