gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,312
- 3,345
Wapendwa Salaam,
NMB Chalinze branch kumejawa na wafanyakazi wenye kiburi na majivuno hasa kwenye idara ya mikopo jambo ambalo linasababisha kero kubwa kwa wateja,
Hii branch unapoanza ku process mkopo utacheleweshwa kiasi ambacho utaona kabisa ni kama wanakuomba rushwa kiaina.Hizo nenda rudi utakoma.Mtu amekupa namba za simu smtz ukipiga hapokei tabu tupu.
Hivi inawezekanaje issue yakufungua tu account ikakupotezea zaidi ya wiki?Kuna kajamaa kamoja keupe kafupi pale ni tatizo kana majibu ya hovyohovyo wahusika fuatilieni.Lakini kingine kunaonekana kuna ujamaa wa karibu kati ya meneja na wafanyakazi wake kwenye idara ya mikopo ndio sababu kunakuwa na uzembe.
Nawashauri CRDB wachangamkie fursa wafungue branch haraka ili kuwatibu hawa wababaishaji.Chalinze kwa sasa ni sehemu very potential tafadhalini CRDB changamkeni tumechoka na hawa wababaishaji.
Najua mtakuja kujenga hoja hapa ,tafadhalini tumeni timu pale fuatilieni wenyewe,zungukeni kwa wateja mtapata majibu.
CC:NMB tanzania.
Asante.
NMB Chalinze branch kumejawa na wafanyakazi wenye kiburi na majivuno hasa kwenye idara ya mikopo jambo ambalo linasababisha kero kubwa kwa wateja,
Hii branch unapoanza ku process mkopo utacheleweshwa kiasi ambacho utaona kabisa ni kama wanakuomba rushwa kiaina.Hizo nenda rudi utakoma.Mtu amekupa namba za simu smtz ukipiga hapokei tabu tupu.
Hivi inawezekanaje issue yakufungua tu account ikakupotezea zaidi ya wiki?Kuna kajamaa kamoja keupe kafupi pale ni tatizo kana majibu ya hovyohovyo wahusika fuatilieni.Lakini kingine kunaonekana kuna ujamaa wa karibu kati ya meneja na wafanyakazi wake kwenye idara ya mikopo ndio sababu kunakuwa na uzembe.
Nawashauri CRDB wachangamkie fursa wafungue branch haraka ili kuwatibu hawa wababaishaji.Chalinze kwa sasa ni sehemu very potential tafadhalini CRDB changamkeni tumechoka na hawa wababaishaji.
Najua mtakuja kujenga hoja hapa ,tafadhalini tumeni timu pale fuatilieni wenyewe,zungukeni kwa wateja mtapata majibu.
CC:NMB tanzania.
Asante.